Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Greetings Great Thinkers!
Nilianzisha huu uzi,
Naondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha, naenda Iringa kwanza. Mwenye kazi au connection tafadhali na hatimaye nilifika salama.
Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, nimekuja kupata kazi kwenye LODGE fulani hapa Iringa mjini na nina wiki kama 2 hivi tangu nianze kazi.
Kazi yangu huwa napiga usiku halafu mchana napiga vibarua vya hapa na pale.
Katika siku chache hizi, boss wangu ametokea kuniamini kwa kiasi fulani ambapo amesema kuna biashara yake anataka kuifungua ila ameniomba kitumike kitambulisho changu.
Je, hii ipoje wakuu? Ni sahihi? Nini madhara yatakayoweza kutokea labda huko mbeleni lets say nikiamua baadae kuondoka au kuacha kazi?
Naombeni ushauri & nawatangulizia shukurani!
Nilianzisha huu uzi,
Naondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha, naenda Iringa kwanza. Mwenye kazi au connection tafadhali na hatimaye nilifika salama.
Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, nimekuja kupata kazi kwenye LODGE fulani hapa Iringa mjini na nina wiki kama 2 hivi tangu nianze kazi.
Kazi yangu huwa napiga usiku halafu mchana napiga vibarua vya hapa na pale.
Katika siku chache hizi, boss wangu ametokea kuniamini kwa kiasi fulani ambapo amesema kuna biashara yake anataka kuifungua ila ameniomba kitumike kitambulisho changu.
Je, hii ipoje wakuu? Ni sahihi? Nini madhara yatakayoweza kutokea labda huko mbeleni lets say nikiamua baadae kuondoka au kuacha kazi?
Naombeni ushauri & nawatangulizia shukurani!