Straus-Khan amekutana uso kwa uso na mwanadada ambae ni raia wa ufaransa na mwandishi wa habari ambae amemfungulia mashtaka bwana Khan kwa kosa la kutaka kum'baka,dada huyo anadai kuwa miaka 8 iliyopita alipokwenda kufanya mahojiano na Khan ndio tukio hilo lilitokea,hata hivyo Khan amekana mashtaka hayo na amesema kuwa alimpiga busu tu,tena si kwa kutumia nguvu........
Sosi;bbc swahili
Sosi;bbc swahili