Eliamini
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 582
- 687
Bosi wa kampuni ya VIGU TRADING COMPANY inayojihusisha na huduma ya clearing and fowarding ya jijini Dar es salaam bwana Virani Joseph Mkomba maarufu kama Vigu amefariki gafla jana usiku, aliumwa gafla na alivyokimbizwa hospitali umauti ukamkuta huku.
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye ndo marejeo yetu
Virani Joseph Mkomba wa VIGU Trading Co. Ltd
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye ndo marejeo yetu
Virani Joseph Mkomba wa VIGU Trading Co. Ltd