kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,964
Ila angekula mwafrika, mswati cha mtoto
Hapana ni muarabuZuckerberg n myahudi?
HahahahaSipendi mambo ya uke wenza mimi lakini apa akiniambia ananioa ata mke wa 10 hewala.na kigelegele juu najipigia mwenyweeeee
Mi sipati hela nimeshajua kwanini, kumbe pesa zote anachukua yeye
labda peke yakoSi wengine tutabakia kuwa wasindikizaji tu.
Asante kwa kuliona hili...Uyo dada hata wanja wa gel hajapaka...
ila huku sasa
Pili pili ya shamba yakuwashia nini mkuu?labda peke yako
Kweli kuishi bongo ni shidaaaa, ayaNa huku kwetu tuna Ontario [HASHTAG]#TMT[/HASHTAG]
labda peke yakoSi wengine tutabakia kuwa wasindikizaji tu.
kwa urembo alokuwa nao...!!hana haja ya kupaka wanja!!Uyo dada hata wanja wa gel hajapaka...
ila huku sasa
Aisee yaani!Uyo dada hata wanja wa gel hajapaka...
ila huku sasa
ThibitishaTatizo shoga *****
daaa jamaa umenifanya nicheke kwa sautiMi sipati hela nimeshajua kwanini, kumbe pesa zote anachukua yeye
Kuna wengine Mungu amewaumba kusotaSi wengine tutabakia kuwa wasindikizaji tu.