Bosi Ruge una akili sana, nakushauri ujiepushe na mabifu usije kuuawa tukaikosa akili yako

Ila kama anajihusisha na hayo mabifu personally basi hana huo uwezo "mkubwa"kama ulivyosema nadhani kutakuwa na mtu mwingine mwenye uwezo mkubwa zaidi anaempa hizo akili kubwa ila hizi za kupambana na dogo janja au aslay ndio zake
 
Fwalwa kanywe uji ulale kwa bosi wako. Hujaumiza akili kujiuliza kwanini hao wanamuziki nguli wamlalamikie na sasa hawa wadogo wa juzi tena? Halafu kwa ufwalwa wako unamuita bosi!
 
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi.

kwa miaka mingi sana analalamikiwa na wasanii tofauti kuanzia kina sugu, Ladyjaydee, Ruby, Diamond, Vinega, Prof jay kwamba hatendi haki

Brother Ruge kama unasoma humu najua wewe ni msomi tena wa vyuo vya ukweli majuu na una exposure kubwa na mziki una passion nao maana bosi wa levo zako kushinda THT unaandikia watoto nyimbo ni zaidi ya passion.

Nakushauri tu achana na watoto wadogo usiwajibu chochote, na hata mambo ya nani nyimbo ipigwe nani isipigwe achana nayo hayo mambo piga kazi zako tu kawaida.

Maana sasa hivi imefika kipindi hata msaniii akiimba vibaya jukwaani kisa amelewa unaaambiwa tatizo Ruge alimzimia maiki mambo ya kina Ali Kiba, Ruby, Diamond achana nayo simamisha THT iwe brand kubwa

Si umeona hata zamaradi alikurekodi na kuvujisha hiyo ndio shida ya watoto wadogo kudili nao sana mambo ya zamaradi na mume wake shilawadu yanafata nini Semina zako za fursa ziongeze maujazo watanzania wakombolewe maana mwisho wa chuki unakuwaga si mzuri.

Sitaki kusikia bosi ruge umemwagiwa tindi kali kama bosi wa home shopping au umepigwa risasi na sababu una bifu na wengi hata polisi watapata shida kujua nani anahusika maana tutawaza labda sugu, wengine labda lady jaydee, wengine labda diamond, wengine labda vinega, wengine labda zamaradi na mume wake, wengine labda baby mamas wake

Bosi Ruge mtu poa sana kama unabisha omba nafasi uonane nae upige nae hata story atakushauri mambo mengi sana huyu ni hazina kwa taifa sema tu anadili na vitoto vinamharibia kwa jamiii
Tukiachana na sakata la Sugu.

Mengine yote Umeongea uKweli mtupu.
 
Huyo ruge nimeona wasanii wengi wanamlalamikia muda mrefu sikutilia maanani. Ila nahisi huyu jamaa siyo mzuri sana kwa industry ya mziki Tanzania kama watu wasemavyo!
Kitu kingine kilichonifanya nimhisi ana walakini huyu jamaa ni kumuacha Zamaradi.
Wanaume huwa tunakosea, ila huwezi kukosea mara nyingi mpaka unazalisha mwanamke watoto wawili halafu ukammwaga! Ingekuwa walau mtoto mmoja basi atleast ningemuelewa lakini si mpaka watoto wawili, huku ni kumpotezea muda na future mwenzio!
Huyu jamaa ana shida na simkubali kabisa!
 
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi.

kwa miaka mingi sana analalamikiwa na wasanii tofauti kuanzia kina sugu, Ladyjaydee, Ruby, Diamond, Vinega, Prof jay kwamba hatendi haki

Brother Ruge kama unasoma humu najua wewe ni msomi tena wa vyuo vya ukweli majuu na una exposure kubwa na mziki una passion nao maana bosi wa levo zako kushinda THT unaandikia watoto nyimbo ni zaidi ya passion.

Nakushauri tu achana na watoto wadogo usiwajibu chochote, na hata mambo ya nani nyimbo ipigwe nani isipigwe achana nayo hayo mambo piga kazi zako tu kawaida.

Maana sasa hivi imefika kipindi hata msaniii akiimba vibaya jukwaani kisa amelewa unaaambiwa tatizo Ruge alimzimia maiki mambo ya kina Ali Kiba, Ruby, Diamond achana nayo simamisha THT iwe brand kubwa

Si umeona hata zamaradi alikurekodi na kuvujisha hiyo ndio shida ya watoto wadogo kudili nao sana mambo ya zamaradi na mume wake shilawadu yanafata nini Semina zako za fursa ziongeze maujazo watanzania wakombolewe maana mwisho wa chuki unakuwaga si mzuri.

Sitaki kusikia bosi ruge umemwagiwa tindi kali kama bosi wa home shopping au umepigwa risasi na sababu una bifu na wengi hata polisi watapata shida kujua nani anahusika maana tutawaza labda sugu, wengine labda lady jaydee, wengine labda diamond, wengine labda vinega, wengine labda zamaradi na mume wake, wengine labda baby mamas wake

Bosi Ruge mtu poa sana kama unabisha omba nafasi uonane nae upige nae hata story atakushauri mambo mengi sana huyu ni hazina kwa taifa sema tu anadili na vitoto vinamharibia kwa jamiii
Umenena vyema mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom