Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
Baada ya bosi wangu kusikia tumepata msiba Mzito kasikitika sana na akajua ni maombolezo ndo basi akasema hiki kibarua chako cha jumamosi nakikufanyia lakin nakulipa kama kawaida,
Akauliza Hela za rambi rambi anapokea nani,? Nikasema nipe mimi ntaziwasilisha, hahaha
Nimemuelewa mnooo
Akauliza Hela za rambi rambi anapokea nani,? Nikasema nipe mimi ntaziwasilisha, hahaha
Nimemuelewa mnooo