BORA YUPI, kati ya Raisi Muongo au Fisadi?

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,948
18,648
Wakuu naomba hebu tujadili hili swala dogo bila kumtaja mtu.

Yupi ni bora kati ya Raisi Muongo au Fisadi?

Raisi muongo namaanisha yeye ni kutawala kwa udanganyifu. Hawaletei wananchi wake maendeleo zaidi ya kuwazidishia shida huku akiwadanganya uchumi unaimalika. Huyu anatumia ile principal ya fimbo na caroti kumuendesha punda.
67a3800938d78f9f9397fd01eaf9ccda.jpg


Raisi Fisadi ni yule anapiga madili lakini bado anawaletea wananchi wake maendeleo na kuimalisha uchumi. Huyu yeye ni kama panya. Yani anakula huku anapuliza.
b227eeba19783b75efad046ed51d55ae.jpg


Naomba niwwkilishe wakuu tujadili bila mihemko.
 
Sawa sawa nikaambiwa nichague kunyongwa na kuchinjwa.Siwezi chagua chochote nabaki nasubiri uamuzi wa huyo atoaye machaguo aamue ananiuaje nitafurukuta hapo hapo....
Baada ya kuwapima wagombea mwaka juzi niliamua kufanya kado ya kupigia kura ni cha kunitambulisha na si vinginevyo,....



Dunia Uwanja wa Fujo
 
Asa we ulkuwa una maana gani!!!umeshasema fisadi na unajua nini hatima yake!!!bora muongo aliyetuletea elimu bure ndege na heshima baa
 
Bora fisadi mwenye mtazamo wa kimaendeleo kuliko muongo anaedumaza uchumi wetu na kufanya hali izidi kuwa ngumu kila kukicha...
 
Wakuu naomba hebu tujadili hili swala dogo bila kumtaja mtu.

Yupi ni bora kati ya Raisi Muongo au Fisadi?

Raisi muongo namaanisha yeye ni kutawala kwa udanganyifu. Hawaletei wananchi wake maendeleo zaidi ya kuwazidishia shida huku akiwadanganya uchumi unaimalika. Huyu anatumia ile principal ya fimbo na caroti kumuendesha punda.
67a3800938d78f9f9397fd01eaf9ccda.jpg


Raisi Fisadi ni yule anapiga madili lakini bado anawaletea wananchi wake maendeleo na kuimalisha uchumi. Huyu yeye ni kama panya. Yani anakula huku anapuliza.
b227eeba19783b75efad046ed51d55ae.jpg


Naomba niwwkilishe wakuu tujadili bila mihemko.
kwa nini rais fisadi ndio awe analetea watu maendeleo. rais muongo anaweza kuitwa muongo na watu kama mleta mada kwa kutotimiza baadhi ya ahadi zake. haiwezekani rais ikawa lengo lake uongo. lakini rais yawezekana lengo lake likawa kufisidi. rais fisadi aweza hata kuiuza nchi kwa kusingizia analeta maendekeo.
 
Asa we ulkuwa una maana gani!!!umeshasema fisadi na unajua nini hatima yake!!!bora muongo aliyetuletea elimu bure ndege na heshima baa
Kama kweli uyo unayemuisi nifisadi hajafikishwa kwenye mahakama kifisadi huoni kwamba zilikuwa proganda chafu thidi yake Leo tunaambiwa mahakama imekosa kesi nini maana yake? Vp yule aliyejipambanua mtetezi wa wanyonge kumbe muongo ajira hamna,mikopo vyuoni hamna,biashara zimebuma kila kitu hovyoo
 
Lugumi ndio mgombea urais wa chadema 2020 Dj akibadili gia za angani.

Bavicha msimtukane sana itakuja kuwapa shida kumsafisha ,kama ilivyowapa shida kumsafisha Lowasa
 
Wakuu naomba hebu tujadili hili swala dogo bila kumtaja mtu.

Yupi ni bora kati ya Raisi Muongo au Fisadi?

Raisi muongo namaanisha yeye ni kutawala kwa udanganyifu. Hawaletei wananchi wake maendeleo zaidi ya kuwazidishia shida huku akiwadanganya uchumi unaimalika. Huyu anatumia ile principal ya fimbo na caroti kumuendesha punda.
67a3800938d78f9f9397fd01eaf9ccda.jpg


Raisi Fisadi ni yule anapiga madili lakini bado anawaletea wananchi wake maendeleo na kuimalisha uchumi. Huyu yeye ni kama panya. Yani anakula huku anapuliza.
b227eeba19783b75efad046ed51d55ae.jpg


Naomba niwwkilishe wakuu tujadili bila mihemko.


CCM imetufikisha mahali pabaya kiasi kwamba vijana wetu wanashindwa wajadili nini cha muhimu
 
Asa we ulkuwa una maana gani!!!umeshasema fisadi na unajua nini hatima yake!!!bora muongo aliyetuletea elimu bure ndege na heshima baa

..kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa na bila kuzingatia vigezo vilivyowekwa ni UFISADI.

..Kununua meli mkweche ukadai ni mpya ni UFISADI.

..nawatakia mjadala mwema.

NB.

..richmond nayo ni ufisadi.

Cc heradius12
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom