Picha kama hizi zinanitia hasira mimiElimu bure ya wapi wakati unalipia elimu kwenye ongezeko la bei ya sukari
Unasifia kuletewa ndege nawakati kipata maji tu ni mtihani
Hata uongo pia ni ufisadiFisadi ni hasara zaid,maana kaz yake itakua kupiga dili tu,,Ila mwongo,,kanuni ya uongo hawez kuwadanganya wote kwa wakat wote,,atadanganya kdgo tu kwa watu wachache,Ila fisadi anaweza waweka wote bond
Sikuizi tunafisadi mpaka wa chakula na rambirambiNaona ajenda ya ufisadi imezikwa rasmi na Ufipa huku Lumumba sasa wakiishikia kidedea,....kweli siasa ni social mathematics, kila mtu ana jibu lake!
Vice versa is truekwa nini rais fisadi ndio awe analetea watu maendeleo. rais muongo anaweza kuitwa muongo na watu kama mleta mada kwa kutotimiza baadhi ya ahadi zake. haiwezekani rais ikawa lengo lake uongo. lakini rais yawezekana lengo lake likawa kufisidi. rais fisadi aweza hata kuiuza nchi kwa kusingizia analeta maendekeo.
Wataje!Hakuna Mzima Kwenye Nchi ile Wote ni Mafisadi Kuanzia wa Chini Hadi Wa Juu Kila Mtu Anashutuma za Ufisadi Niwataje?
Kwani huwezi kuwa muongo n ukawa fisadi pia?ndege bei yake shs ngapi,mv dsm shs ngapi,nyumba za umma ziko wapi,uwanja mkuuuuubwa unajengwa wapi,ubinafsi na ukabila umeanzishwa na naniAsa we ulkuwa una maana gani!!!umeshasema fisadi na unajua nini hatima yake!!!bora muongo aliyetuletea elimu bure ndege na heshima baa
Slaa alijitoa mwenyewe...ali-chicken out!!Stawaamin tena walimtoa dr s
Lkn mkuu chanzo ni waoSlaa alijitoa mwenyewe...ali-chicken out!!
Wote hawafai. Tunayemtaka ni mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu basiWakuu naomba hebu tujadili hili swala dogo bila kumtaja mtu.
Yupi ni bora kati ya Raisi Muongo au Fisadi?
Raisi muongo namaanisha yeye ni kutawala kwa udanganyifu. Hawaletei wananchi wake maendeleo zaidi ya kuwazidishia shida huku akiwadanganya uchumi unaimalika. Huyu anatumia ile principal ya fimbo na caroti kumuendesha punda.
Raisi Fisadi ni yule anapiga madili lakini bado anawaletea wananchi wake maendeleo na kuimalisha uchumi. Huyu yeye ni kama panya. Yani anakula huku anapuliza.
Naomba niwwkilishe wakuu tujadili bila mihemko.
Hata kama chanzo ni wao, hawakumfukuza. Yeye mwenyewe kwa akili zake aliamua kujiondoa.Lkn mkuu chanzo ni wao
Wakuu naomba hebu tujadili hili swala dogo bila kumtaja mtu.
Yupi ni bora kati ya Raisi Muongo au Fisadi?
Raisi muongo namaanisha yeye ni kutawala kwa udanganyifu. Hawaletei wananchi wake maendeleo zaidi ya kuwazidishia shida huku akiwadanganya uchumi unaimalika. Huyu anatumia ile principal ya fimbo na caroti kumuendesha punda.
Raisi Fisadi ni yule anapiga madili lakini bado anawaletea wananchi wake maendeleo na kuimalisha uchumi. Huyu yeye ni kama panya. Yani anakula huku anapuliza.
Naomba niwwkilishe wakuu tujadili bila mihemko.