M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Hivi ni kwa nini hili suala la "tuendelee kuwa marafiki wa kawaida tu" kwenye mapenzi huwa haliwezekani.,ni kwa nini hata pale wapenzi wanapoachana by mutual consent huwa na ile element ya "friendship" nayo inafikia mwisho?.,kwani ni lazima mkiachana kama wapenzi basi muwe maadui.,wahusika huwa wanajaribu kuepusha nini kwa kuwa mbali from each other?
Nawasiisha.
Nawasiisha.