Bora tuendelee kusoma kwa kizungu maana, kanuni ya akimedes hii hapa!

KANUNI YA AKIMEDES:
Kitu kikizama nusu au chote kwenye ugiligili hukutana na kani mnyanyuo ambayo ni sawa na ugiligili uliomwagika.


Bora tuendelee kusoma kwa kiingereza wapendwa
balaa sana kaka..........hahahaaaaaaaaaaaaaa
 
KANUNI YA AKIMEDES:
Kitu kikizama nusu au chote kwenye ugiligili hukutana na kani mnyanyuo ambayo ni sawa na ugiligili uliomwagika.


Bora tuendelee kusoma kwa kiingereza wapendwa
Mkuu tatizo tulianza kusoma kwa kimombo that's why unaona kituko ila kama tungeanza kwa kiswahili hii ungeona poa tu same as methali zetu ktk swahil subject ukizipeleka kwa kimombo ni kituko
 
KANUNI YA AKIMEDES:
Kitu kikizama nusu au chote kwenye ugiligili hukutana na kani mnyanyuo ambayo ni sawa na ugiligili uliomwagika.


Bora tuendelee kusoma kwa kiingereza wapendwa


Haya iseme kwa hicho kiingereza basi!
 
KANUNI YA AKIMEDES:
Kitu kikizama nusu au chote kwenye ugiligili hukutana na kani mnyanyuo ambayo ni sawa na ugiligili uliomwagika.


Bora tuendelee kusoma kwa kiingereza wapendwa
hii kaliiii
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom