Bora tuendelee kusoma kwa kizungu maana, kanuni ya akimedes hii hapa!

Ndo hivyo sijapenda, imetokea. Turudi kwenye mada. Hivi unafundishaje organic chemistry kiswahili? Kwa mfano alcohol tutaiita pombe?
wachina,wajerumani,warusi,wataliano wanafundishaje?..tatizo maneno 'yanavosound' ndo tunaona haifai,ita pombe kama ndiyo tafsiri yake
 
Jesus Christ!

You couldn't buy a clue, could you?

Kitu kilichoko kwenye fluid kinakuwa subjected to upthrust, in lay terms kina feel the upthrust, hakiwezi ku exert upthrust!!! Chenyewe ndio kinasukumwa juu, kina experience upthrust!

Yani wewe unanikandya mimi wewe wakati hujui tofauti ya exert and experience? Mtumeeee!
elimu ya kukariri,pengine alipata A fizikia,ndo mana tnataka wasome kwa lugha wanayoielewa
 
Hicho kizungu umezaliwa unakijua au ulijifunza??Tujifunze kwa lugha yetu tutaelewa tu mbona wachina wameendelea kwakutumia lugha yao?
 
Kiswahili kitaeleweka kama kitafundishwa neno kwa neno kutoka katika kamusi kuanzia ha tua za mwanzo kabisa za elimu ya mtu. Sasa mtu miaka yote hujakutana na neno ugiligili, lazima likutatize.
 
Asee wakuu mbona mnatukana hadharani??b ugiligili uku kwetu ni tusi kubwa sana hahahahaaaa
 
Ngoja nikumbuke kidogo:
It states that, "When a body is totally or partially immersed in a fluid it exerts an upward force or upthrust which is equal to the weight of the fluid displaced."
It experiences and not exerts
 
Ngoja nikumbuke kidogo:
It states that, "When a body is totally or partially immersed in a fluid it exerts an upward force or upthrust which is equal to the weight of the fluid displaced."
"When a body is partially or totaly immersed in a fluid it exprience an upthrust force whch is equal to the weight of the fluid displaced"
 
HCL + NaOH = NaCl + H2O. Unaielezeaje hii kiswahilo. Conjugate unaisemaje kiswahili; Equilibrium constant?

Magufuli njoo tusaidie PhD wa chemistry tutafundishaje kemia kiswahili?

Hizo compound za mwendo kasi au ni zilezile zilizopo kwy lumbert??
 
Unaambiwa:

*kwa uyakinifu dadavua nadharia hii kwa kutumia mifano mintarafu ikiwa na mtizamo wa kipragmatiki ya hadidu za rejea*

au

*critically discuss this by theory using vivid examples in reflection to the terms of references*
 
Back
Top Bottom