Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,745
48,316
Huwa nafuatilia channel ya hawa wadau ambao huwahoji Watanzania vitu vya kawaida, yaani Watz wapo wapo tu siku ziende, elimu mbovu hawana uwezo wa kushindana na moto wa Wakenya. Bora hivyo wao huogopa Wakenya maana duh!

 
October mwezi wa pili...yeyote angeweza kumis kutokana na kuchanganywa na October
 
October mwezi wa pili...yeyote angeweza kumis kutokana na kuchanganywa na October

Hamnaa bana, wa kwanza huyo ningemuelewa maana kashtukizwa, ila hao wengine muda wote wamekaa pembeni wanaskliza hilo swali likiulizwa na wao pia wakaangukia pua, elimu yenu hiyo ina kasoro sana.

Tatizo lenu mna mfumo wa elimu ya msingi inayoishia la saba, maana kwamba mtu kama hana uwezo wa kwenda sekondari anakua mwisho wake ni la saba, halafu ukizingatia mwanafunzi wa la saba huko ni sawia na wa la tatu Kenya, hehehe bora muendelee kuweka pini kwa Wakenya maana mtapoteza sana kama hiki ndicho kizazi chenu.

Tena hao ni madogo wa mjini haswa, sio watu wa vijijini.
 
Hamnaa bana, wa kwanza huyo ningemuelewa maana kashtukizwa, ila hao wengine muda wote wamekaa pembeni wanaskliza hilo swali likiulizwa na wao pia wakaangukia pua, elimu yenu hiyo ina kasoro sana.

Tatizo lenu mna mfumo wa elimu ya msingi inayoishia la saba, maana kwamba mtu kama hana uwezo wa kwenda sekondari anakua mwisho wake ni la saba, halafu ukizingatia mwanafunzi wa la saba huko ni sawia na wa la tatu Kenya, hehehe bora muendelee kuweka pini kwa Wakenya maana mtapoteza sana kama hiki ndicho kizazi chenu.

Tena hao ni madogo wa mjini haswa, sio watu wa vijijini.
Just like your signature states....."A lion doesn't concern itself with the opinion of sheep"....
Viva TANZANIA.......Viva FOREVER
 
Hamnaa bana, wa kwanza huyo ningemuelewa maana kashtukizwa, ila hao wengine muda wote wamekaa pembeni wanaskliza hilo swali likiulizwa na wao pia wakaangukia pua, elimu yenu hiyo ina kasoro sana.

Tatizo lenu mna mfumo wa elimu ya msingi inayoishia la saba, maana kwamba mtu kama hana uwezo wa kwenda sekondari anakua mwisho wake ni la saba, halafu ukizingatia mwanafunzi wa la saba huko ni sawia na wa la tatu Kenya, hehehe bora muendelee kuweka pini kwa Wakenya maana mtapoteza sana kama hiki ndicho kizazi chenu.

Tena hao ni madogo wa mjini haswa, sio watu wa vijijini.
hivi mbona Uhuru na Ruto hawaelewani tena na wote wamesoma elimu bora kabisa.!?

eeehh

na ugomvi wa kikabila usioisha na huku elimu yenu ni bora Africa..??
 
Huwa nafuatilia channel ya hawa wadau ambao huwahoji Watanzania vitu vya kawaida, yaani Watz wapo wapo tu siku ziende, elimu mbovu hawana uwezo wa kushindana na moto wa Wakenya. Bora hivyo wao huogopa Wakenya maana duh!

imeiona reli lakini au umepagawa na suruali ya mtangazaji
 
Mkuu huko kenya bado tu mna nyumba full suti bati na maduka ya bati duh
 
Kwa Ndugu zetu Uganda, Angalia hapa


1620904820166.png
 
Jifikirie hapo tu unapowaona wana upeo mdogo lakini ktk mambo ya msingi hawakurupuki kuwakubalia upuuzi wenu kijingajinga,je wangekuwa na uelewa unaoutaka wewe wangekuaje,hapo ndio ujue inawezekana hata hicho chenu mnachokiamini kuwa ni bora kumbe ni fake zaidi yao
 
hivi mbona Uhuru na Ruto hawaelewani tena na wote wamesoma elimu bora kabisa.!?

eeehh

na ugomvi wa kikabila usioisha na huku elimu yenu ni bora Africa..??

Ndio uzuri wa elimu, kwamba hamshikiliwi akili na mtu mmoja, leo hii Tanzania ndio kama kila kiongozi amerejeshewa ubongo, kipindi cha JPM nyote mlikua full mapambio hata akisema corona haipo na haijawahi kuwepo na imeisha kwa maombi mnaitikia amina. Sijui ni athari za ujamaa hufanya watu wawe kama misukule au nini, kwamba hakuna mwenye jeuri ya kuhoji chochote.
Japo pia mfumo wa elimu ni hovyo sana, hao hapo vijana wa mjini hawajui Oktoba mwezi wa ngapi.....channel ya huyo jamaa huwa naifuatilia na kucheka sana sio kwa majibu yenu.
 
Ndio uzuri wa elimu, kwamba hamshikiliwi akili na mtu mmoja, leo hii Tanzania ndio kama kila kiongozi amerejeshewa ubongo, kipindi cha JPM nyote mlikua full mapambio hata akisema corona haipo na haijawahi kuwepo na imeisha kwa maombi mnaitikia amina. Sijui ni athari za ujamaa hufanya watu wawe kama misukule au nini, kwamba hakuna mwenye jeuri ya kuhoji chochote.
Japo pia mfumo wa elimu ni hovyo sana, hao hapo vijana wa mjini hawajui Oktoba mwezi wa ngapi.....channel ya huyo jamaa huwa naifuatilia na kucheka sana sio kwa majibu yenu.
Pole bado mnalia na lockdown!! Huku Tz corona is just a past history! no social distancing, no masks and no any symptoms for Covid-19 whatsoever! God has been so gracious to our country in response to honour we gave to Him from the very beginning. People laughed and mocked Tz as we embarked on National prayers and fasting pleading with God to protect us from Covid-19. But now they can't avoid to see how God has protected Tz.
 
Pole bado mnalia na lockdown!! Huku Tz corona is just a past history! no social distancing, no masks and no any symptoms for Covid-19 whatsoever! God has been so gracious to our country in response to honour we gave to Him from the very beginning. People laughed and mocked Tz as we embarked on National prayers and fasting pleading with God to protect us from Covid-19. But now they can't avoid to see how God has protected Tz.

Tangu janga la corona kuanza, Tanzania na Burundi tu ndio zimepoteza marais, na hayo mataifa mawili tu ndio yalikana uwepo wa corona na kukaidi kila aina ya tahadhari. Haya mambo ya kisayansi yanahitaji busara na matumizi ya ubongo sio ujinga na ujuha.
Hawa mnaowaona wakivaa barakoa wanatumia akili zao na kujiongeza na ndio maana mpaka sasa wapo wanapeta...

Hata yule mzee wa nyungu aliyekua anawahadaa, leo hii ni champion wa barakoa ila ni baada ya JPM kuondoka ndio akili zikamrudia Jaffo.

Euu4iUiXcAQzO07.jpg


2721819_Jafo.png
 
Huwa nafuatilia channel ya hawa wadau ambao huwahoji Watanzania vitu vya kawaida, yaani Watz wapo wapo tu siku ziende, elimu mbovu hawana uwezo wa kushindana na moto wa Wakenya. Bora hivyo wao huogopa Wakenya maana duh!

majority ya hawa waliohojiwa ni millennials. ni hawa watoto ambao akili zao zimekuwa matured kipindi hiki ambacho mitandao ya kijamii kama instagram na tiktok imeshika hatamu.

hawa wapuuzi wapo vizuri sana kufatilia habari za udaku, umbeya na ubuyu unaohusu maisha ya mastaa wa bongo. ila akili zao zipo very dormant kujua vitu basic kwa lugha ya kingereza. inasikitisha sana kwa kweli.

tatizo hili sio tu kwa vijana wa kitanzania, hata hapo kwenu kenya wapo ambao wanakosea kutoa majibu sahihi kwa maswali mepesi.



 
majority ya hawa waliohojiwa ni millennials. ni hawa watoto ambao akili zao zimekuwa matured kipindi hiki ambacho mitandao ya kijamii kama instagram na tiktok imeshika hatamu.

hawa wapuuzi wapo vizuri sana kufatilia habari za udaku, umbeya na ubuyu unaohusu maisha mastaa wa bongo. ila akili zao zipo very dormant kujua vitu basic kwa lugha ya kingereza. inasikitisha sana kwa kweli.

Hapo hata hawajahojiwa kingereza, Oktoba.
 
Back
Top Bottom