GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,862
Hivi kweli Bodi ya Ligi ndiyo walikaa kabisa wakaona kuwa Kombe lile baya la Bingwa wa Ligi Kuu ya NBC walilolitambulisha jana ndiyp litumike? Katika Maisha yangu yote ya Soka ( Mpira ) sijawahi Kukutana ( Kuona ) Kombe baya na bovu kama lile lililotambulishwa Jana na ambalo Yanga SC wanaenda ( wanatarajiwa ) Kukabodhiwa.
Nawapongeza sana Simba SC kwa Makusudi kabisa kutohangaika kwa Ubingwa wa Mwaka huu kwani kwa Ukubwa wa Timu yao na Hadhi waliypnayp ingekuwa ni Aibu wao Kubeba Kombe ambalo halina hata Mvuto na linaloonekana pia kuwa kama vile lina Nuksi Nuksi fulani.
Tuvumiliane japo najua kuwa tutanuniana mno mwaka huu Kudadadeki.
Nawapongeza sana Simba SC kwa Makusudi kabisa kutohangaika kwa Ubingwa wa Mwaka huu kwani kwa Ukubwa wa Timu yao na Hadhi waliypnayp ingekuwa ni Aibu wao Kubeba Kombe ambalo halina hata Mvuto na linaloonekana pia kuwa kama vile lina Nuksi Nuksi fulani.
Tuvumiliane japo najua kuwa tutanuniana mno mwaka huu Kudadadeki.