Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wadau Mimi ni mmoja ya waliopiga foundation programme open
Ki ukweli ile mitihan haikuzingatiwa ubora kabisa
Unakuta mitihan inatungwa migumu na isitoshe huo mitihan mnafaufanya pamoja na wale wanaosoma digrii ya kwanza
Nimepoteza ada yangu bure
Bora nireseat tu form six kuliko kupiga hii kozi
Ki ukweli ile mitihan haikuzingatiwa ubora kabisa
Unakuta mitihan inatungwa migumu na isitoshe huo mitihan mnafaufanya pamoja na wale wanaosoma digrii ya kwanza
Nimepoteza ada yangu bure
Bora nireseat tu form six kuliko kupiga hii kozi