Kumpenda mwanamke sio tatizo, shida ni kumwonyesha kama unampenda sana, kumkabidhi moyo wako mazimaa............hapo ni sawa na kufanya forex trading na huna knowledge ya kutosha, kuunguza accounts (Moyo) ni muda wowote!Asalamu wanajamvi humu.
Kama kichwa kinavyojieleza nimeamua kuurudia u playboy kwa mabinti maana nimeona kujifanya unapenda mtu ni donda la moyo.
Nina mpenzi wangu nipo nae kama huu sasa ni wezi wa nane. Sasa imeibuka tabia anaaga anaenda kuona ndugu zake halafu akifika huko hapokei cm mpaka atoke ndo akupigie. Sasa haya mm siyawezi bora niwe nachapa tu na kulala mbele maana hawaviumbe ukijifanya unawapenda wanakuona mwehu.
Mkuu nisaidie nitawezaje kupata knowledge ya forex trading?Kumpenda mwanamke sio tatizo, shida ni kumwonyesha kama unampenda sana, kumkabidhi moyo wako mazimaa............hapo ni sawa na kufanya forex trading na huna knowledge ya kutosha, kuunguza accounts (Moyo) ni muda wowote!
Naunga mkono hoja Mungu angeweka tu.pakutolea haja.bas mapenz yana run dunia....Hizi sehemu za katikati zinasumbua kweli kwelii,, Kwanin Mungu hakuweka vidude vingine kuepusha migogoro,, angeweka vikojoleo tuu na akatoa yale mengine
Naunga mkono hoja Mungu angeweka tu.pakutolea haja.bas mapenz yana run dunia....Hizi sehemu za katikati zinasumbua kweli kwelii,, Kwanin Mungu hakuweka vidude vingine kuepusha migogoro,, angeweka vikojoleo tuu na akatoa yale mengine
Aiseeeeee mkuu umenifumbua macho nilikuwa sijui mm nilikuwa najifanya bingwa wa kupenda.
Best advice everKama uko chini ya miaka 28,jisogeze mbele za muumba akuandalie mke,kama uko 30 and above muombe akupe mke kama uko chini ya 25 kazana sana kujenga maisha,NYEGE HAZIISHI