Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. Hongera
Mpwa Sipo
Ila yataka ujasiri sana kama ni demu mpya mmmmmhhhhh wazamani uliye mzoea ni easy.....!