Bora nife

imma.one

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
542
37
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.
 
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.
kosa liko wapi emma si kaolewa na ampendae bwanaaa?
 
Mkuu, usichukue uamuzi huo. hayo ni mambo ya kawaida sana katika mahusiano. Wachunguze wanadamu, utakuja kugundua kuwa usaliti kwa baadhi yao ni jambo la kawaida sana.
 
pole...... wataka kujiua coz anafahamika na familia yako..............amedhihirisha wewe hukuwa chaguo lake........inauma lakini yatapita unatakiwa kusonga mbele...............ukijiua ndio utakuwa umempata achan na mawazo machafu
 
jiue kaka maisha yenyewe magumu bado wanawake wanakusumbua kunywa sumu inayoitwa sulphon cox ndani ya secon utakuwa umeepukana na machungu. Try it 4 the best.
 
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.

Kinachokuuma ni pete yako ya gharama,kuolewa kwake na ampendae au aibu ya kupigwa bao la kisigino?
 
wewe huna akili ndo maana amekukimbia, hiki kweli ndo kitu cha kukufanya ufe, kwani alikuzaa yeye au ameondoka na mkia wako, si utulie utapata mwingine tu, wewe vipi.
 
pole ndugu. heri kakupa nusu shari kuliko angeolewa na ww huku anaendelea na jamaa yake. kivumbi ungekiona baada ya kuingia nae kunyumba! kama unajali sana pete yako, msake umuambie akurudishie.
 
Jiue tu inaonekana wewe ndiye ulikuwa na lengo la kuvunja uchumba na baadaye ndoa ya mtu.
 
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.<br />
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.
<br />
<br />
Kwani huyo kicheche mlizaliwa pamoja?acha ujinga wewe komaa na maisha hivyo ni vitu vya kupita.
 
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.<br />
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.
<br />
<br />
acha kufikiria kwa masaburi
 
Pole kaka mshukuru sana Mungu umemgundua mapema kuwa hakuwa muaminifu kwako fikiria ndio ungekuwa umeshafunga nae ndoa yakakukuta yaliokukuta.....

Shukuru Mungu kwa kila jambo..... Jipange umpya na maisha, kesha ukiomba Mungu akufungulie na akupe chaguo la moyo wako, kumbuka Mke mwema hutoka kwa Bwana
 
hapo tatizo nini hadi ufikirie kujiua??? je ndo amekuingiza dunia ya mapenzi???? kujulikaa ndo kigezo cha mapenzi??
 
Huyo dada ni kicheche pori mana anakubali kuvishwa pete na mwanaume mwngn hlf ndani ya wiki 1 anaolewa na mwanaume mwngn,funga na mshukuru Mungu kwa kukuepusha na janga hl na umwombe akujalie mke mwema.
 
jiue kaka maisha yenyewe magumu bado wanawake wanakusumbua kunywa sumu inayoitwa sulphon cox ndani ya secon utakuwa umeepukana na machungu. Try it 4 the best.
Ushauri gani mkuu. Wataka nawe uwe mshiriki wa kifo chake??? Emma.one achana nae utapata atakae kupenda kwa dhati b,cause wako wengi duniani.
 
Huyo dada ni kicheche pori mana anakubali kuvishwa pete na mwanaume mwngn hlf ndani ya wiki 1 anaolewa na mwanaume mwngn,funga na mshukuru Mungu kwa kukuepusha na janga hl na umwombe akujalie mke mwema.

isije ikawa jamaa alitangaza dau na demu akapata tamaa ... ila lazima anaelewa alitendalo ..
kumvisha mtu pete si kumfunga asifanye maamuzi
 
Duh! Pole kaka, inawezekana mungu amekuepusha na mambo mengi juu ya huyo mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom