kenyanah
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 246
- 189
My bad, sikumaanisha kukodi mwili but wat i meant ni kukupeleka hosi iwapo utazaa na bwana wa mwenyewe.I DO MIND
ANd the answer is NO, Sifanyi kazi ya kukodisha mwili... nenda uwanja wa fisi
My bad, sikumaanisha kukodi mwili but wat i meant ni kukupeleka hosi iwapo utazaa na bwana wa mwenyewe.I DO MIND
ANd the answer is NO, Sifanyi kazi ya kukodisha mwili... nenda uwanja wa fisi
Thanks but NO thanks!My bad, sikumaanisha kukodi mwili but wat i meant ni kukupeleka hosi iwapo utazaa na bwana wa mwenyewe.
Yeah sureThanks but NO thanks!
Nashukuru mkuu umemtolea uvivu mwanamke mwenzio (mpompo )Yani huyu kila siku mashoga zake wanamwambia mavitu ya ajabu
Inaelekea mashoga zako ni mapompo
hongera sana, endelea kukaa hivyo hivyoNipo single
kumbe huyo aliecomment ni mwanamke?Nashukuru mkuu umemtolea uvivu mwanamke mwenzio (mpompo )
...ndege wafananao huruka pamoja..
Hakuna kitu kama hicho katika serikali ya Tanzania msiipake matopesasa kama mwenza hayupo kwanini twende na barua ya nanihii?
Point sna, na ikiwa mtu kapata mimba kwa mrija yan kanunua mbegu zza kiume kajiingiza atamapata wapi baba mtotoUtaratibu unavunja katiba ya jamhuri ya muungano ya Tanzania na mikataba ya kimataifa ya kutunza haki za binadamu.
Kila mtu ana haki ya kuzaa.
Hata kwa mkataba, kwamba mwanamme nipe mbegu halafu jikate tusijuane.
Sasa mama kama huyo utamlazimisha vipi aje na baba wa mtoto wakati yeye hataki kukaa na baba na kashamlipaujira wake na mkataba wao umeisha mama alivyoshika mimba tu?
Mtu kama huyo utamfanyaje hapo?
Habari za kumtaka aende serikali za mitaa ni unyanyasaji tu hapo.
Kama mzazi anataka kwenda clinic mwenyewe, kumdadisi zaidi ni kumyanyasa tu.
Kuna watu wanashika mimba kwa kushikwa kwa nguvu, mwanamme anakimbia.
Mtu kama huyo ukimlazimisha aje na baba mtoto kliniki, au aende serikali za mitaa kuhadithia watu baki kwamba alibakwa na hamjui baba mtoto, anaomba barua, ni kumuongezea chumvi juu ya kidonda.
Asante kwa taarifaHakuna kitu kama hicho katika serikali ya Tanzania msiipake matope
Tulioko huko hamna kitu kama hicho
Hehe hePoint sna, na ikiwa mtu kapata mimba kwa mrija yan kanunua mbegu zza kiume kajiingiza atamapata wapi baba mtoto
HaleluyahNshasema atakayenutoa bikra ni yule atakayenioa
PapuchiHaleluyah
Amina
Ila aunt utueleze una bikra ngapi?!
Hili tangazo linadhalilisha wanawake? Au linaeleza hali halisi kwa uwazi tu?
Kwahiyo umeshatolewa bikra 5 umebakiwa na 1 tu!?Papuchi
unaongea na mimi au JF?Bikra uitoe wapi wewe
poa tu bossHakuna anayekubali kuzaa na mume wa mtu; ikumbukwe kuwa mapenzi ni hisia. Unaweza kuwa kwenye mahusiano na mme wamtu ... ile mnaendelea kuhudumiana .. mimba.
Unakataa kwamba huyo mume wa mtu humpi taarifa ...
Mimba unambambika mwingine unayempenda zaidi ... mtoto anazaliwa .. majanga
Unaenda kupata ushauri wa kitaalamu, unaambiwa mtoto alompa jina sio baba yake ...
Unamrudia mme wa mtu ili kumnusuru mtoto.
Imekaaje hiyo!