Ndio maana nilishangaa kuona andiko hilo,nikajua unajisemea wewe kumbe sioMimi ni Bikra mama watoto 3,.. wajukuu 5
how about that?
Ndio maana nilishangaa kuona andiko hilo,nikajua unajisemea wewe kumbe sioMimi ni Bikra mama watoto 3,.. wajukuu 5
how about that?
sawaNdio maana nilishangaa kuona andiko hilo,nikajua unajisemea wewe kumbe sio
Bikra itoke wapi MKUU!Ndio maana nilishangaa kuona andiko hilo,nikajua unajisemea wewe kumbe sio
aiseeBikra itoke wapi MKUU!
Hili Tangazo linabagua. Halijui hata dharura.Hili tangazo linadhalilisha wanawake? Au linaeleza hali halisi kwa uwazi tu?
hahahahahaHili Tangazo linabagua. Halijui hata dharura.
Halijui hata "wahanga wa vita za kimbari"Hili Tangazo linabagua. Halijui hata dharura.
Nani kakuambia?HII ITAKUWA MSAADA SANA KWA WALE WANAOJIBEBEA MIMBA HOVYO KUUMBUKA.
Nadhani mimba zisizotarajiwa zitapungua mitaani
Sipati pic varangati lakenesi shemeji yake wee!!!acha tuu
kulenga haina shida kifuatacho sasandivyo alivyosema
lakini kulenga mnajua... kutoa uroda mnajua majukumu yafuatayo baada ya uroda hamtaki! ode!
Hapo sasa, kama anamke na huko nje kaenda kupanda mbegu nako wabebane kupimahehehe pole naona limekugusa kibinafsi zaidi!
Labda ukatafute wa miaka 50una kichaa?
mume wa miaka 30 namuachaje?
una mapepo au?
Haaahaaa haaaaa ni shidaHili Tangazo linabagua. Halijui hata dharura.
Yani huyu kila siku mashoga zake wanamwambia mavitu ya ajabu
Inaelekea mashoga zako ni mapompo
Linaeleza ukweliHili tangazo linadhalilisha wanawake? Au linaeleza hali halisi kwa uwazi tu?
Hahahahhahahaha tejaNani kakuambia?
Kwani nikimzalisha mwanamke yuko njombe na Mimi dar ntashindwa nini kuhudhuria clinic ya kwanza?
Ni rahisi kuliko kawaida.
Hawaulizi hata vitambulisho.
Unaweza beba hata binamu yako au teja stand ukamlipa na kwenda naye
Babu😂😂😂Labda ukatafute wa miaka 50
Ndio maana akasema abakie kuwa bikraSasa kua bikra na kuzaa na mume wa mtu kuna uhusiano gani?
Ila wanaozaa na waume za watu nao wana mioyoooo! You will forever be number 2!
Uuuwi vurugu mechi classicHapo sasa, kama anamke na huko nje kaenda kupanda mbegu nako wabebane kupima