Bora Mshirikina na Fisadi Mkweli kuliko Muumini Mnafiki.

Kevo

JF-Expert Member
Jun 12, 2008
1,333
52
Nimeonelea ni heri nipost this thread following the recent trend of things in the country.

:: Je, ushirikina,ufisadi na muumini mnafiki ni upi?


Andrew Chenge siku za hivi karibuni alishutumiwa kwa uchawi bungeni na uchunguzi umefanyika na mkemia mkuu amesema yake.Vilevile Rosatam Aziz ameingia kanisani katoa sadaka kasema yaliyokuwa yanamkera na Mchungaji kasimamishwa.
Haya makuu mawili ya uchawi na ufisadi yametinga mno kwenye vvyombo vya habari na yameandikwa sana na wadau wakasema vya kutosha.
Je,muumini mnafiki nafasi yake katika haya yote ni yepi?
Suala la uchawi na ufisadi hawa ni watu ambao tunaowajua na maovu yao yanajulikana je huyu muumini wa swala tano na anyeenda kanisani misa ya asubuhi,ya jioni,na jumuia kila leo halafu usiku anawanga na kuiba huyu ana kheri?
Hili suala la Rostam Aziz kukanwa na kanisa na Mchungaji kusimamishwa yamefikia off limits.Kila mwanadamu atimize wajibu wake suala la wewe,mimi na yule kuonekana watakatifu kisa tunasali sana limepitwa na wakati.
Siyo anaetoa sadaka kila siku na kukaa kiti cha mbele ni msafi.Angalia jamii yako hasa wale wanaoenda kanisani na misikitini sana na kujiita watoto wa Mungu waangalie vitendo vyao.
Tusisiseme nyumba za watu chafu wakati ya kwako its haunted by all kinds of ghosts.
Msimamo wangu ni kuwa sitetei ufisadi,uchawi wala unafiki.Natetea Ukweli,Uwazi,Fairness,Unity,Justice,Love and Peace.
God Bless You All.
 
Nimeonelea ni heri nipost this thread following the recent trend of things in the country.

:: Je, ushirikina,ufisadi na muumini mnafiki ni upi?


Andrew Chenge siku za hivi karibuni alishutumiwa kwa uchawi bungeni na uchunguzi umefanyika na mkemia mkuu amesema yake.Vilevile Rosatam Aziz ameingia kanisani katoa sadaka kasema yaliyokuwa yanamkera na Mchungaji kasimamishwa.
Haya makuu mawili ya uchawi na ufisadi yametinga mno kwenye vvyombo vya habari na yameandikwa sana na wadau wakasema vya kutosha.
Je,muumini mnafiki nafasi yake katika haya yote ni yepi?
Suala la uchawi na ufisadi hawa ni watu ambao tunaowajua na maovu yao yanajulikana je huyu muumini wa swala tano na anyeenda kanisani misa ya asubuhi,ya jioni,na jumuia kila leo halafu usiku anawanga na kuiba huyu ana kheri?
Hili suala la Rostam Aziz kukanwa na kanisa na Mchungaji kusimamishwa yamefikia off limits.Kila mwanadamu atimize wajibu wake suala la wewe,mimi na yule kuonekana watakatifu kisa tunasali sana limepitwa na wakati.
Siyo anaetoa sadaka kila siku na kukaa kiti cha mbele ni msafi.Angalia jamii yako hasa wale wanaoenda kanisani na misikitini sana na kujiita watoto wa Mungu waangalie vitendo vyao.
Tusisiseme nyumba za watu chafu wakati ya kwako its haunted by all kinds of ghosts.
Msimamo wangu ni kuwa sitetei ufisadi,uchawi wala unafiki.Natetea Ukweli,Uwazi,Fairness,Unity,Justice,Love and Peace.
God Bless You All.

Wachawi na Mafisadi wote hakuna kuonewa huruma!
Hata kama wako huko misikitini na makanisani...Watajwe!
Kutowataja ndio UNAFIKI WENYEWE!
WEKA HAPA MAJINA NA SISI TUTACHAMBUA...!
JF HII!
YA WAZALENDO!
Hivyo basi...Badala ya kusema watu wajiangalie!
Mimi binafsi ninafahamu na kuamini kuwa mimi si MCHAWI wala FISADI!
Vipi kuhusu wewe?
Hatuna haja ya KUOGOPA kuukemea Ufisadi NA UCHAWI UWE WA CHENGE AMA WA AKSOFU AMA WA SHEICK NA HATA WA MWANASIASA AMA MWANANCHI YEYOTE WA KAWAIDA.
Hivyo basi...Tukate issue kwani huu ni wakati ambao NO STONE SHALL NEVER STAY UNTURNED.
 
wote hakuna bora hapo ndugu yangu mana moja huanzisha jingine akishakua mnafiki then atatumia unafiki wake kuwa fisadi via ushirikina....
 
Wachawi na Mafisadi wote hakuna kuonewa huruma!
Hata kama wako huko misikitini na makanisani...Watajwe!
Kutowataja ndio UNAFIKI WENYEWE!
WEKA HAPA MAJINA NA SISI TUTACHAMBUA...!
JF HII!
YA WAZALENDO!
Hivyo basi...Badala ya kusema watu wajiangalie!
Mimi binafsi ninafahamu na kuamini kuwa mimi si MCHAWI wala FISADI!
Vipi kuhusu wewe?
Hatuna haja ya KUOGOPA kuukemea Ufisadi NA UCHAWI UWE WA CHENGE AMA WA AKSOFU AMA WA SHEICK NA HATA WA MWANASIASA AMA MWANANCHI YEYOTE WA KAWAIDA.
Hivyo basi...Tukate issue kwani huu ni wakati ambao NO STONE SHALL NEVER STAY UNTURNED.

Mimi siyo yoyote kati ya hao.Mushi hapo nyuma ulikwisha niuliza mimi ni nani?nilikujibu kwamba ni mpenda haki,mchukia ufisadi na la zaidi soma msimamo wangu katika hiyo thread niliyopost ndiye mimi.
Asante.
 
wote hakuna bora hapo ndugu yangu mana moja huanzisha jingine akishakua mnafiki then atatumia unafiki wake kuwa fisadi via ushirikina....

Nakubaliana na wewe hamna mwenye nafuu hapo.Ila ukweli unabaki palepale kuwa ni heri uwe muwazi na maisha unayoyaishi kuliko kujificha ndani ya ngozi ya kondoo.As the adage goes,'Still waters run deep'.Lets live our lives accordingly with respect to every one and to our communities by building the society hence bringing development.
 
Tatizo Letu Tz Bado Twasumbuliwa Na Sumu Ya Ujamaa. Dunia Imebadilika Sisi Hatukubali Matokeo. Kwa Sasa Mabepari Ndo Vinara Wa Kila Kitu Cha Msingi Tuweke Misingi Mipya Ya Utaifa Wetu Tusonge Mbele.
Malalamiko Yasiyoendana Na Wakati Hayasaidiiii.
Twaelewa Kwa Sasa Bila Fedha Kupata Uongozi Shidaaaaaaaa...sasa Tufanyeje Kubadili Hali????
 
Tatizo Letu Tz Bado Twasumbuliwa Na Sumu Ya Ujamaa. Dunia Imebadilika Sisi Hatukubali Matokeo. Kwa Sasa Mabepari Ndo Vinara Wa Kila Kitu Cha Msingi Tuweke Misingi Mipya Ya Utaifa Wetu Tusonge Mbele.
Malalamiko Yasiyoendana Na Wakati Hayasaidiiii.
Twaelewa Kwa Sasa Bila Fedha Kupata Uongozi Shidaaaaaaaa...sasa Tufanyeje Kubadili Hali????

Kwa hiyo una suggest watu waende kwa wachawi ili kupata fedha wawe mafisadi ili wapate fedha za kupata uongozi?au unasemaje kwa sababu kama that is your opinion we will never have honest,open and patriotic leaders.
 
Mtumishi Wa Mungu Hiyo Pichya Yako Hapo Kwakweli Inanikwaza Sana.

Nakuomba Uibadili

usijali .. utaizoea tu maana sijaona picha mbadala ... pia inakukumbusha kwamba unahitaji kuishi tena kwa afya njema ... nitumie alternatives basi nichaguwe
 
Nimeonelea ni heri nipost this thread following the recent trend of things in the country.

:: Je, ushirikina,ufisadi na muumini mnafiki ni upi?


Andrew Chenge siku za hivi karibuni alishutumiwa kwa uchawi bungeni na uchunguzi umefanyika na mkemia mkuu amesema yake.Vilevile Rosatam Aziz ameingia kanisani katoa sadaka kasema yaliyokuwa yanamkera na Mchungaji kasimamishwa.
Haya makuu mawili ya uchawi na ufisadi yametinga mno kwenye vvyombo vya habari na yameandikwa sana na wadau wakasema vya kutosha.
Je,muumini mnafiki nafasi yake katika haya yote ni yepi?
Suala la uchawi na ufisadi hawa ni watu ambao tunaowajua na maovu yao yanajulikana je huyu muumini wa swala tano na anyeenda kanisani misa ya asubuhi,ya jioni,na jumuia kila leo halafu usiku anawanga na kuiba huyu ana kheri?
Hili suala la Rostam Aziz kukanwa na kanisa na Mchungaji kusimamishwa yamefikia off limits.Kila mwanadamu atimize wajibu wake suala la wewe,mimi na yule kuonekana watakatifu kisa tunasali sana limepitwa na wakati.
Siyo anaetoa sadaka kila siku na kukaa kiti cha mbele ni msafi.Angalia jamii yako hasa wale wanaoenda kanisani na misikitini sana na kujiita watoto wa Mungu waangalie vitendo vyao.
Tusisiseme nyumba za watu chafu wakati ya kwako its haunted by all kinds of ghosts.
Msimamo wangu ni kuwa sitetei ufisadi,uchawi wala unafiki.Natetea Ukweli,Uwazi,Fairness,Unity,Justice,Love and Peace.
God Bless You All.

Kevo nakubaliana na wewe kuwa suala la kunyoosheana vidole kuwa yule msafi na yule mchafu siyo sahihi tena dini zote zinakataza.Unajua kuna mabo mawili hapa ya msingi.Siku ile pale kanisani Rostam alipokuwa anatumia mimbara kujisafisha na kutoa ahadi ya fedha waumini wengi walilipuka kwa shangwe na vifijo.Hiyo ni ishara kuwa ama waumini walimwamini Rostam au waliwehushwa na fedha alizotoa

Tamko la KKKT Dayosisi ya Mshariki na Pwani linaonesha kutokuoana na mtizamo wa waumini wa Kinondoni waliomshangilia Rostam kanisani lakini pengine kama watu wasingehoji kuhusu Rostam kualikwa kanisani si ajabu tamko hili lisingetoka.

Mimi nachukulia tamko la KANISA kuwa UNAFIKI HASA.Kuna wachafu wangapi makanisani na kila jumapili wanatoa mapesa yao na hawatolewi matamko?Mbona kuna watu wanajulikana majambazi a wauaji lakini ndio wanaalikwa kuchangia makanisani?.Mbona hata mzee wa monduli nae alienda tena pale cathedral (Azania Front) kutoa sadaka ya shukrani baada ya kutemeshwa uwaziri mkuu?Nani alimzuia asifanye hivyo?Mbona Askofu wa dayosisi Mkoani Arusha KKKT aliongoza mapokezi ya Halaiki kwa Mzee wa Monduli? tena mkuu wa dayosisi? nani alitoa tamko?Yote haya yalifanywa kwa nia njema na kwa lengo la kwa kutekeleza kazi ya kanisa ya "kuokoa na kuponya roho za watu".

Rostam Aziz hana tofauti na Lowassa wala watu wengine wanaoonekana wachafu.Kama kanisa limeweza kuwahesabu Lowassa na wengine wengi walio na wanaosemwa kuwa wachafu kwanini iwe ngumu kwa Rostam?

Msimamo wa kanisa haupaswi kubagua wala kutekelezwa kwa misingi ya unafiki.
 
Nimeonelea ni heri nipost this thread following the recent trend of things in the country.

:: Je, ushirikina,ufisadi na muumini mnafiki ni upi?


Andrew Chenge siku za hivi karibuni alishutumiwa kwa uchawi bungeni na uchunguzi umefanyika na mkemia mkuu amesema yake.Vilevile Rosatam Aziz ameingia kanisani katoa sadaka kasema yaliyokuwa yanamkera na Mchungaji kasimamishwa.
Haya makuu mawili ya uchawi na ufisadi yametinga mno kwenye vvyombo vya habari na yameandikwa sana na wadau wakasema vya kutosha.
Je,muumini mnafiki nafasi yake katika haya yote ni yepi?
Suala la uchawi na ufisadi hawa ni watu ambao tunaowajua na maovu yao yanajulikana je huyu muumini wa swala tano na anyeenda kanisani misa ya asubuhi,ya jioni,na jumuia kila leo halafu usiku anawanga na kuiba huyu ana kheri?
Hili suala la Rostam Aziz kukanwa na kanisa na Mchungaji kusimamishwa yamefikia off limits.Kila mwanadamu atimize wajibu wake suala la wewe,mimi na yule kuonekana watakatifu kisa tunasali sana limepitwa na wakati.
Siyo anaetoa sadaka kila siku na kukaa kiti cha mbele ni msafi.Angalia jamii yako hasa wale wanaoenda kanisani na misikitini sana na kujiita watoto wa Mungu waangalie vitendo vyao.
Tusisiseme nyumba za watu chafu wakati ya kwako its haunted by all kinds of ghosts.
Msimamo wangu ni kuwa sitetei ufisadi,uchawi wala unafiki.Natetea Ukweli,Uwazi,Fairness,Unity,Justice,Love and Peace.
God Bless You All.


Mkuu hii issue iko very broad....hapa unataka kusema hata sisi tulioko nje ya nchi kama wakimbizi, au tumetumia fake documents kama vile BS famba (bank statement fake) kupata I-20 na visa, tuko katika mkumbo huu wa ufisadi.
Ila nakubaliana na wewe kuwa wachawi wengi mara nyingi wanajifanya wacha Mungu kuliko sisi tusiomjua Mungu vizuri, shame on them!!
 
Mkuu hii issue iko very broad....hapa unataka kusema hata sisi tulioko nje ya nchi kama wakimbizi, au tumetumia fake documents kama vile BS famba (bank statement fake) kupata I-20 na visa, tuko katika mkumbo huu wa ufisadi.
Ila nakubaliana na wewe kuwa wachawi wengi mara nyingi wanajifanya wacha Mungu kuliko sisi tusiomjua Mungu vizuri, shame on them!!

Usijali mkuu najua hiyo I-20 unasoma na utarudi kusaidia kusongesha maendeleo mbele.Siyo?kinyume na hapo ni ufisadi.
 
Nimeonelea ni heri nipost this thread following the recent trend of things in the country.

:: Je, ushirikina,ufisadi na muumini mnafiki ni upi?


Andrew Chenge siku za hivi karibuni alishutumiwa kwa uchawi bungeni na uchunguzi umefanyika na mkemia mkuu amesema yake.Vilevile Rosatam Aziz ameingia kanisani katoa sadaka kasema yaliyokuwa yanamkera na Mchungaji kasimamishwa.
Haya makuu mawili ya uchawi na ufisadi yametinga mno kwenye vvyombo vya habari na yameandikwa sana na wadau wakasema vya kutosha.
Je,muumini mnafiki nafasi yake katika haya yote ni yepi?
Suala la uchawi na ufisadi hawa ni watu ambao tunaowajua na maovu yao yanajulikana je huyu muumini wa swala tano na anyeenda kanisani misa ya asubuhi,ya jioni,na jumuia kila leo halafu usiku anawanga na kuiba huyu ana kheri?
Hili suala la Rostam Aziz kukanwa na kanisa na Mchungaji kusimamishwa yamefikia off limits.Kila mwanadamu atimize wajibu wake suala la wewe,mimi na yule kuonekana watakatifu kisa tunasali sana limepitwa na wakati.
Siyo anaetoa sadaka kila siku na kukaa kiti cha mbele ni msafi.Angalia jamii yako hasa wale wanaoenda kanisani na misikitini sana na kujiita watoto wa Mungu waangalie vitendo vyao.
Tusisiseme nyumba za watu chafu wakati ya kwako its haunted by all kinds of ghosts.
Msimamo wangu ni kuwa sitetei ufisadi,uchawi wala unafiki.Natetea Ukweli,Uwazi,Fairness,Unity,Justice,Love and Peace.
God Bless You All.

Hakuna aliye na afadhali wote ni wamoja tu. Kama ameweza kulifanya moja kati ya hayo basi hatashindwa kulifanya lingine.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom