Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nimesoma post moja humu jamvini kwamba, akiwa viwanja vya Mwembeyanga, Kikwete aliwatukana Watanzania waliohudhuria mkutano wa Dr. Slaa kwa kuwaita "majuha".
Juha maana yake ni mtu asiyejua kitu. Kwa hiyo Watanzania hatujui kitu. Haya si matusi jamani?
JK subiri October 31. Utajua kama Watanzania ni majuha au wewe na familia yako ndiyo majuha.
Juha maana yake ni mtu asiyejua kitu. Kwa hiyo Watanzania hatujui kitu. Haya si matusi jamani?
JK subiri October 31. Utajua kama Watanzania ni majuha au wewe na familia yako ndiyo majuha.