The Kilimanjaro stars 1 Ivory Coast 0 hongera nafikiri hii ni baada ya miaka 16 bila kuwa na kombe la Challenge.
Tuombe tena michuano inayofuata Kikwete asiende uwanjani au apate safari ya ghafla kwenda kutalii nje ya nchi, akiendelea kutohudhulia atakuwa analinusuru taifa na aibu ya mwenda wazimu.
Tuombe tena michuano inayofuata Kikwete asiende uwanjani au apate safari ya ghafla kwenda kutalii nje ya nchi, akiendelea kutohudhulia atakuwa analinusuru taifa na aibu ya mwenda wazimu.