Bora Katiba tuikubali, tusiichukie CCM kwa sababu CCM itahukumiwa na Karma kwa Uovu wake

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,440
113,449
Wanabodi,

Kesho asubuhi rasimu ya Katiba Mpya ya CCM, inakabidhiwa Bungeni Dodoma kwenye BMK. Nawaombeni sana, ikifanikiwa kupata 2/3 ya kura na kupitishwa, nawaombeni sana sana tuipigie kura ya ndio, iwe ndio "Bora Katiba" yetu kwa sababu hii katiba iliyopo "is nothing compared!" na hii inayoletwa no matter how bad it is, it is "something!", something is always better than nothing!, tuutumie ule msemo wa "If you can't get what you want, just take what you get!",
Watanzania tulitaka "Katiba Bora", CCM wanatuletea "Bora Katiba", natoa wito na shime, tuikubali, tuipokee na tuipigie kura ya ndio!.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kuandika haya, kutokana na mada ya mwana jf huyu.
Serikali haina mkataba wowote na Watanzania. CCM kama chama ndiyo yenye Mkataba na Watanzania.

Hata kama Serikali ni mali ya wananchi na ipo kwa ajili ya wananchi, lakini wananchi hawachagui Serikali wala Serikali haiombi waichague, bali chama cha siasa ili kiunde Serikali.

CCM inaongoza na itaendelea kuongoza huku vyama vya upinzani vikiendelea kufuata kwa nyuma kama fisi anayesubiri mkono kudondoka.

Like it or not. Its painful true for those who dont like it.
Mkuu Mwana Diwani,

Kwanza asante sana kwa uzi huu, na ni kutokana na umuhimu wa katiba, sisi wengine wetu kesho tunaamkia Dodoma, kwenda kuishuhudia kwa macho, maana kuisubiria tuu ile live ya TBC, tunaona kama hakutoshi!.

Naomba tafuta muda wa kutosha, unisome kwa kituo mdogo mdogo!.

Wengi humu wanajitanabaisha kwa ushabiki wa vyama, hivyo wana vyama vyao na kuunga mkono misimamo ya vyama vyao, ila kuna sisi wachache ambao japo tuna vyama vyetu moyoni, lakini ni independent thinkers ambao ni free thinkers bila kushabikia vyama, kwasababu ni wapenzi wa demokrasia ya kweli na ustawi wa Mtanzaia, na miongoni mwa hao, pia wapo walio ndani ya CCM na wapo walio ndani ya vyama vya upinzani ambao nao ni wapenzi wa demokrasia ya kweli na ustawi wa Mtanzania!.

Uhalali wa CCM kuyafanya yote haya inayoyafanya, umepatikana kwa CCM kuchaguliwa na zile kura milioni 5 mgombea wa CCM, alizoshinda kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita ambapo watu waliojiandikisha kupiga kura kwa watu milioni 22 ndani ya taifa la watu milioni 50!. Hawa milioni 22 waliojiandikisha kupiga kura, lakini waliopiga kura ni watu miloni 8 tuu!. Mtu mwenye busara, kamwe hawezi kuringia ushindi wa kura milioni 5!, bali atajiuliza kwa nini watu miloni 12 wajiandikishe halafu hawakupiga kura?!.

Sababu ni ndogo tuu, nimeieleza hapa kuwa CCM mmekuwa mnashinda chaguzi sio kwa sababu CCM mnapendwa sana, au CCM mmelifanyia makubwa mazuri sana taifa hili!, No!, no way!, CCM mnashinda kwa sababu ya udhaifu wa upinzani, Tanzania, bado hatuna any serious and capable opposition, ukijumlisha na ignorance ya Watanzania kuichagua CCM kwa mazoea tuu!.

Laiti tungekuwa na any serious and capable opposition, kikawaelimisha Watanzania kuwa Tanzania tumepata uhuru, kipindi kile kile na nchi kama Korea Kusini, Tiger countries, Indonésia, Malaysia, Singapore, na Taiwan, Tanzania ikiwa na kila aina ya rasilimali, watu, ardhi, maliasili, madini na mataifa hayo yakiwa with nothing compared!, leo 50 years later, ukiangaliwa wenzetu who had nothing compared, mahali walipo, na sisi with everything mahali tulipo, utashuhudia wenzetu wako mbali wakati sisi bado tuko kwenye stinking poverty!, ukijiuliza sababu, ukaambiwa utakuta hakuna sababu nyingine yoyote ila ni CCM!, take it from me, hakuna mtu mwenye akili zake timamu, angeichagua CCM!.

CCM ni kama li zimwi ambalo ndio limeifikisha Tanzania hapo tulipofika!, ila kwa vile ndilo zimwi likujualo, halikuli likakwisha, hata uchaguzi wa 2015 tutaichagua tena CCM kwa kishindo kwa sababu so far ndio the only one iliyopo!.

Uwepo huu wa CCM ndio uliopelekea ile dhana ya Chama kushika hatamu kuiongoza serikali, (party supremacy), japo sasa tuko kwenye mabadiliko ya mfumo, into "parliamentary supremacy" ambapo legitimacy ya utawala itatoka kwa wananchi "WE, the people" kupitia kwa wawakilishi wetu "bungeni" kwenye wabunge waliochaguliwa kwenye uchaguzi "huru na wa haki" na wabunge ambao sio lazima watokane na vyama!, utashuhudia jinsi CCM itakavyo kula mwereka!.

CCM ilipoandika ile katiba ya 1977, ilidhamiria serikali mbili kuelekea serikali moja, hivyo kiukweli kuna mahali nimewaambia Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!" Mimi ni muumini wa serikali moja!.

Baada ya wananchi kufunguliwa macho na Tume ya Warioba, na matakwa ya Zanzibar yenye mamlaka zaidi, jambo ambalo lingewezekana tuu kwenye serikali tatu, msimamo wa CCM kung'ang'ania serikali mbili, kwa imani yangu, ndilo kaburi rasmi la kuizika CCM, na sio tuu kuizika CCM, bali pia ndio mwanzo wa mwisho wa huu muungano wetu adhimu ambao sasa unaendeshwa kisanii, hili nimelizungumza hapa Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano

Huu mchakato wa katiba ni mchakato batili, tangu mwanzo, hivyo hauwezi kutuletea katiba bora!, tutakacho pata kwa mchakato huu ni bora katiba!, huwezi kupanda miiba, ukitegemea utavuna zabibu!, hivyo nilishauri https://www.jamiiforums.com/threads/katiba-nashauri-bunge-lililopo-livunjwe-liundwe-bunge-kweli-la-k

Hiki kinachofanywa na wana UKAWA sasa kususa susa ni utoto tuu!, wala hautusumbui!, vinara wa kutetea hoja Bungeni ni Chadema, niliwaeleza hivi mahali Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Tunachosubiri sasa ni kuipigia tuu kura ya "Ndiiiyyoo!" hiyo "Bora Katiba!"

Naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma!. Karma inataka watu watendewe haki!, hivyo haya yote ambayo CCM inatufanyia, Watanzania kwa yale mazuri, CCM itabarikiwa, lakini kwa yale mabaya, CCM italaaniwa!. Kwenye huu mchakato wa katiba, kiukweli kabisa CCM imetutenda!. Hili la CCM kututenda, nililisema hapa Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile!

Hivyo haya ya CCM inayotufanya Watanzania "yana mwisho haya" na kiukweli mwisho wake, hautakuwa mwisho mwema!, hakimu wa kweli wa kuihukumu CCM kwa kila inalowafanyia Watanzania, anaitwa "Karma", kama CCM imetenda wema, italipwa mema, lakilakini kama CCM, imetutenda, itatendwa!, na malipo ni hapa hapa duniani!.

Kwa vile CCM sio mtu, CCM ni entity, watakao adhibiwa na karma ni viongozi wa CCM!, hivyo just keep watching mambo yatakayokuja kuwatokea baadhi ya viongozi wetu!, karma haijui cha nani wala cha nani!. Tutende haki jameni vinginevyo karma ita...

CCM Hoyee!.

Mimi kesho ni Dodoma kwenda kushuhudia!.

Nawatakia Jumapili Njema

Asante.

Pasco.
 
We nenda tu kashuhudie ila bora lawama za leo kuliko lawama za kesho,tukilaumu kesho tutaambiwa "too late" kwa maana hyo tuache tuwalaumu na kuwalaani tu hao ccm
 
Wewe Pasco acha hizo. U mmoja wao sasa. Ni bora iliyotufikisha hapa kuliko waliyotengeneza wao. Ni bora rais ajaye aendelee na mchakato kwa kuteua wajumbe wengine kuliko hii ya sasa. Tunu za taifa ziko wapi. Maoni yetu tuliyotoa yako wapi, mawaziri wasitokane na wabunge, ukomo wa ubunge, kutokuwepo viti maalum, baraza dogo la mawaziri yako wapi, uwajibikaji ni ibara ya ngapi. Bado, bora ikataliwe kuanza upya sio ujinga, walilipwa na kodi zetu, watalipwa na kodi zetu. Umiliki wa ardi iko wapi ibara hiyo. Wamekutumaaaaaaa
 
Mkuu Pasco, nikuhakikishie kuwa kitu kitakachopakuliwa kesho na Andrew Chenge kitakuwa bora sana
 
Wewe Pasco acha hizo. U mmoja wao sasa. Ni bora iliyotufikisha hapa kuliko waliyotengeneza wao. Ni bora rais ajaye aendelee na mchakato kwa kuteua wajumbe wengine kuliko hii ya sasa. Tunu za taifa ziko wapi. Maoni yetu tuliyotoa yako wapi, mawaziri wasitokane na wabunge, ukomo wa ubunge, kutokuwepo viti maalum, baraza dogo la mawaziri yako wapi, uwajibikaji ni ibara ya ngapi. Bado, bora ikataliwe kuanza upya sio ujinga, walilipwa na kodi zetu, watalipwa na kodi zetu. Umiliki wa ardi iko wapi ibara hiyo. Wamekutumaaaaaaa
Pasco kaeleza mambo ya msingi sana. Mtafanyaje sasa wakati mchakato umemalizika? Subirini miaka 50 ijayo
 
Hapana Pasco, mimi nitaikataa katiba hii iliyolazimishwa! Sote tunajua kuwa CCM wanakwaida ya kulazimisha mambo, wanakawaida ya kulazimisha political legitimacy, ila kwa dhati zetu tutaikataa, tutaikataa ili hata kama wakibadilisha uamuzi kama ilivyo kawaida yao wanapokuwa kwenye vikao vyao vya siri waseme ilikataliwa tukailazimisha!
 
Kuna wengi wataipigia katiba mpya kura ya yes ONLY because hawataki kuendelea na hii ya kale na sio kwamba hiyo mpya ni nzuri/bora. Kitu kipya kamwe kina mvuto wake. The thrill of trying out new things may just win the day.
mimi mwenyewe ni muumin wa serikali moja, kama nilivyopendekeza hapa https://www.jamiiforums.com/politic...-in-progress-but-feel-free-to-contribute.html lakini that is now almost impossible. CDM naamini kama wangeutetea muungano wa serikali moja, alongside mfumo wao wa majimbo na bila kufuta uwepo wa SMZ, hivi leo wangeungwa mkono na wananchi wengi sana.
UKAWA wawe na subira. ninavyohisi mimi lazima kabla ya kura ya maoni, vyama vya siasa vitapewa mda kucampaign, kuchambua, kuwaelimisha na kuwashawishi wananchi kuhusu misimamo yao juu ya rasimu ya mwisho ya katiba, kama ilivyokuwa Kenya. Uzito wa hoja zao ndio utakaowashawishi wananchi whether kuipinga au kuikubali katiba mpya.
Pasco
 
Last edited by a moderator:
Wewe Pasco acha hizo. U mmoja wao sasa. Ni bora iliyotufikisha hapa kuliko waliyotengeneza wao. Ni bora rais ajaye aendelee na mchakato kwa kuteua wajumbe wengine kuliko hii ya sasa. Tunu za taifa ziko wapi. Maoni yetu tuliyotoa yako wapi, mawaziri wasitokane na wabunge, ukomo wa ubunge, kutokuwepo viti maalum, baraza dogo la mawaziri yako wapi, uwajibikaji ni ibara ya ngapi. Bado, bora ikataliwe kuanza upya sio ujinga, walilipwa na kodi zetu, watalipwa na kodi zetu. Umiliki wa ardi iko wapi ibara hiyo. Wamekutumaaaaaaa
Mkuu Mwandiga, kwanza asante, ukumbuke hata shetani mwanzo alikuwa malaika, kama sii ajabu malaika kugeuka shetani, then ni kweli na mimi ni mmoja wao, inawezekana sasa ni shetani nimegeuka malaika!.

Hayo yole unayoyaulizia, ungeyauliza kesho baada ya kuiona rasmi ya BMK ndio yangekuwa na maana!.

Na mwishi mimi ni freelance independent journalist, situmwi na peyote!.

Thanks.

Pasco.
 
Acha kudanganya watu wewe. Wewe ni mwana CCM-ACT kindakindaki....! Nani hakujui wewe?
Mkuu Ikwete, asante kwa ku reveal ule utambulisho wangu wa mwana CCM-ACT kindakindaki!, wengi walikuwa hawanijui, sasa kwa taarifa hii, wengi wananijua!.

Na kwa wale wote msio nijua, nawaambia rasmi wajemeni, "mimi Pasco wa jf ni ni mwana CCM-ACT kindakindaki -kwa mujibu wa Ikwete....!.

Waliobakia wote sasa wamejua!,

Tuendelee!

Thanks.

Pasco
 
Pasco kaeleza mambo ya msingi sana. Mtafanyaje sasa wakati mchakato umemalizika? Subirini miaka 50 ijayo
Are you serious? Kuna mengi tungefanya kama katiba hii itakataliwa. Alichokisema Kikwete kwamba tutarudia katiba ya zamani ni mawazo yake na yanaisha pindi atakapohand over madaraka.
Tutaanza mchakato upya kwa kupunguza idadi ya wajumbe wa BMK haswa wanasiasa na kuongeza idadi ya wasomi.
Pia tutarejesha tume ya warioba kuwa ndiyo secretariat ya BMK itakayowapeleka wajumbe through process ya kuandika katiba mpya.
Halafu tutafanya kura ya maoni kujua ni muundo upi wa muungano unaofaa, baada ya kuvipa vyama vya siasa fursa ya kuwaelimisha wananchi kuhusu misimamo yao.
 
Mkuu Pasco, nikuhakikishie kuwa kitu kitakachopakuliwa kesho na Andrew Chenge kitakuwa bora sana

Kitakuwa makapi tu. Bora kwa waliojitungia kwa kujipendelea wao wenyewe. Hii ni sawa na kutunga sheria kuwa mtu akiiba au kula rushwa afungwe lakini Hakimu akila rushwa asifungwe. Ndicho walichofanya Dodoma kule. Kwamba ibara zote ambazo zinawabana wamezikataa.
 
Wajameni, "Bora Katiba" ndio hii imepita!, sasa tujiandae kwa Uchaguzi Mkuu, tuichague tena CCM kwa kishindo!, ili tuipigie kura ya ndio katiba pendekezi!.

Pasco.
 
Wanabodi,

Kesho asubuhi rasimu ya Katiba Mpya ya CCM, inakabidhiwa Bungeni Dodoma kwenye BMK. Nawaombeni sana, ikifanikiwa kupata 2/3 ya kura na kupitishwa, nawaombani sana sana tuipigie kura ya ndio, iwe ndio "Bora Katiba" yetu kwa sababu hii katiba iliyopo "is nothing!" na hii inayoletwa no matter how bad it is it is "something!", something is always better than nothing!, tuutumie ule msemo wa "If you can't get what you want, just take what you get!",
Watanzania tulitaka "Katiba Bora", CCM wanatuletea "Bora Katiba", natoa shime, tuikubali, tuipokee na tuipigie kura ya ndio!.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kuandika haya, kutokana na mada ya mwana jf huyu.
Mkuu Mwana Diwani,

Kwanza asante sana kwa uzi huu, na ni kutokana na umuhimu wa katiba, sisi wengine wetu kesho tunaamkia Dodoma, kuisubiria tuu ile live ya TBC, tunaona hakutoshi!.

Naomba tafuta muda unisome kwa kituo kidogo!.

Wengi humu wana vyama, ila kuna sisi wachache ambao hatuna kabisa vyama, ila ni wapenzi wa demokrasia yakweli na ustawi wa Mtanzaia, na miongoni mwa hao, pia wapo walio ndani ya CCM na wapo walio ndani ya vyama vingine ambao nao ni wapenzi wa demokrasia ya kweli na ustawi wa Watanzania!.

Uhalali wa CCM kuyafanya yote haya umepatikana kwa kuchaguliwa na zile kura milioni 5 alizoshindia mgombea wa CCM, kutoka kwa watu milioni 22 waliojiandikisha kupiga kura, lakini waliopiga kura ni watu miloni 8 tuu!. Mtu mwenye busara, kamwe hawezi kuringia ushindi wa kura milioni 5!, bali atajiuliza kwa nini watu miloni 12 hawakupiga kura?!.

Sababu ni ndogo tuu, nimeieleza hapa, hivyo CCM mmekuwa mnashinda sio kwa sababu mnapendwa sana, au melifanyia mazuri taifa hili!, no way!, CCM nashinda kwa sababu ya udhaifu wa upinzani, ukijumlisha na ignorance ya Watanzania na mazoea tuu!.

Laiti Watanzania wengelijua Tanzania tumepata uhuru, kipindi kile kile na Korea Kusini, na Tiger countries, Malaysia, Singopore, Indonesia, Taiwan, Tanzania ikiwa na kila aina ya rasilimali, na mataifa hayo yakiwa na nothing compared!, leo 50 years after ukiangaliwa wenzetu with nothing walipo, na sisi with everything tulipo, utashuhudia wenzetu wako mbali wakati sisi bado tuko kwenye stinking poverty!, ukijiuliza saba, utakuta hakuna sababu nyingine yoyote ni CCM!.

CCM ni li zimwi ambalo ndio limeifikisha Tanzania hapo tulipofika, ila kwa vile ndilo zimwi likujualo, halikuli likakwisha, hata 2015 tutaichagua tena CCM kwa kishindo kwa sababu so far ndio the only one iliyopo!.

Uwepo huu wa CCM ndio uliopelekea ile dhana ya Chama kushika hatamu kuiongoza serikali, (party supremacy), japo sasa tuko kwenye mabadiliko ya mfumo, into "parliamentary supremacy" ambapo legitimacy ya utawala itatoka kwenye "we the people" kupitia kwa wawakilishi wetu "bungeni" kwenye wabunge waliochaguliwa kwenye uchaguzi "huru na wa haki" na wabunge ambao sio lazima watokana na vyama!.

CCM ilipoandika ile katiba ya 1977, ilidhamiria serikali mbili kuelekea serikali moja, hivyo kiukweli kuna mahali nimewaambia [h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then ...[/h]Mimi ni muumini wa serikali moja!.

Baada ya wananchi kufunguliwa macho na Tume ya Warioba, na matakwa ya Zanzibar yenye mamlaka zaidi, jambo ambalo lingewezekana tuu kwenye serikali tatu, msimamo wa CCM kung'ang'ania serikali mbili, kwa imani yangu, ndilo kaburi rasmi la CCM, na sio tuu ni CCM, pia ndio mwisho wa muungano huu wa kisanii, hili nimelizungumza hapa [h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili, Ndio Utakaovunja Muungano!.
[/h]Huu mchakato wa katiba ni mchakato batili, tangu mwanzo, huwezi kupanda miiba, ukitegemea utavuna zabibu!, hivyo kwanza nilishauri [h=3]Katiba: Nashauri Bunge Lililopo Livunjwe!, Liundwe Bunge Kweli La Katiba..[/h] ila kwa hapa lilipofikia, nimekubali, kutokana na kufanya mchakato huu hivi ulivyo kutokana na umasikini wetu uliosababishwa na CCM!, kwa vile sisi ni masikini, lazima kwanza tujikubali na umasikini wetu, ndipo tuweze kusonga mbele!.[h=3]Mchakato Huu wa Katiba, ni Umasikini Wetu!, Tujikubali ...[/h]
Hiki kinachofanywa na wana UKAWA ni utoto tuu, wala hautusumbui!, vinara wa kutetea hoja Bungeni ni Chadema, niliwaeleza hivi mahali [h=3]Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!.[/h]
Tunachosubiri Sasa ni kuipigia tuu kura ya "Ndiiiyyoo!" hiyo "Bora Katiba!"

Kwa yote haya ambayo CCM inayafanya, yana mwisho wake, na kiukweli hautakuwa mwisho mwema!, hakimu wa kweli wa kuihukumu CCM kwa kila inalowafanyia Watanzania, anaitwa "Karma", kama CCM imetenda wema, italipwa mema, laki kama CCM, imetutenda, itatendwa!, na malipo ni hapa hapa duniani!.

CCM Hoyee!.

Mimi kesho ni Dodoma kwenda kushuhudia!.

Nawatakia Jumapili Njema

Asante.

Pasco.

Sisi bado tunasubiri katiba yetu.
Katiba yenu imepita, ondoeni Shaka.

View attachment 189816

View attachment 189817

Cc chama, MwanaDiwani, ZeMarcopolo, Lizaboni











Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
Tunachoubiri sasa ni kupiga tuu kura

Kwa yote haya ambayo CCM inayafanya, yana mwisho wake, na kiukweli hautakuwa mwisho mwema!, hakimu wa kweli wa kuihukumu CCM kwa kila inalowafanyia Watanzania, anaitwa "Karma", kama CCM imetenda wema, italipwa mema, laki kama CCM, imetutenda, itatendwa!, na malipo ni hapa hapa duniani!.

Pasco.

Nafanya tafakuri.

Paco
 
Back
Top Bottom