Bora CHADEMA ni ruksa kugombea uenyekiti kuliko CCM ambako ni kosa kugombea Urais mpaka Rais aliyepo amalize kipindi chake cha pili

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,994
144,329
Cha ajabu, watu hawa ambao kwao ni mwiko kum-challenge Rais alie madarakani katika kugombea uraisi kupitia chama chao,ni watu hawa hawa wako busy kumshambulia Mbowe na CHADEMA kwa ujumla kisa tu Mbowe kaamua kugombea tena.

Hawa watu ni wanafiki sana na lengo lao kubwa sio kutetea demokrasia, bali ni kutaka kuweka pandikizi lao ili lije kuyumbisha chama kwa masilahi yao ya kisiasa.

Msisahau kuna mtu ameapa kuangamiza upinzani na hawa wanafiki wanaojidai kutetea demokrasia ndani ya upinzani, hawajawi kumpinga mwenyekiti wao anaetaka kuua demokrasia ya vyama vingi.Wanafiki wakubwa!!

Lingine la ajabu, ni watu hawa kufurahia wagombea wao kupita bila kupingwa kama tulivyoona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tena kwa kutumia mbinu zenye utata alafu watu hao hao wanataka Mbowe asigombee bali aachie wengine wakidai ndio demokrasia.Wanafiki sana!!

CHADEMA kamwe msiwasikilize CCM kwani hawatahili kuwashauri chochote na kama wana cha kushauri,basi waanze kushauri ndani ya chama chao ambako hata demokrasia ya kuchaguana kwa sasa ni mtihani.

Mchakato wa kupata wagombea kupitia kura za maoniu ndani ya CCM ni mfano mzuri wa nini kinaendele leo hii ndani ya chama chao kuhusu demokrasia na haki ya mtu kuchagua ama kuchaguliwa.

Mwisho,CHADEMA chagueni mtu makini na mfia chama (awe Mbowe au mtu mwingine yoyote yule) mradi tu awe ni mtu ambae kamwe hatoweza kutumika kutimiza adhima ya Bwana yule ya kutaka kuua vyama vya upinzani nchini.

Sambamba na sifa nyingine,sifa ya muhimu na ya kuingalia kwa jicho la tatu katika kuchagua mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa, ni awe mtu ambae hatoweza kutikikiswa wala kushawishiwa kwa namna yoyote ili mpaka afikie hatua ya kusalimu amri na kukibomoa chama, vinginevyo tutakuja juta huko mbeleni.

Bwana yule uchaguzi huu kwake ni muhimu kuliko hata wa ndani ya chama chake.
 
Lkn CCM kuna ukomo wa Uongozi, wakati chadema hakuna na nchi yetu Kikatiba Urais una ukomo, hivyo hatuwezi kumuamini mtu ambaye kwenye Chama chake ameshindwa/hataki kuweka ukomo wa Uongozi, that’s why, ...
 
Lkn CCM kuna ukomo wa Uongozi, wakati chadema hakuna na nchi yetu Kikatiba Uraisi una ukomo, hivyo hatuwezi kumuamini mtu ambaye kwenye Chama chake ameshindwa/hataki kuweka ukomo wa Uongozi, that’s why, ...
Ni bora kutokuwa na ukomo kuliko kuruhusu ukomo utakoweza kutumika kutoruhusu wafia chama kugombea nafasi nyeti ndani ya chama maana sasa kwa sasa kuna tuhuma ya uwepo biashara ya utumwa ya watu kununuliwa na kurubuni vyama vyao hivyo tunahitaji zaidi wafia chama kuongoza upinzani kuliko ukomo wa uongozi katika vyama vya upinzani.
 
CCM ni kubwa kuliko uwezo wako Wa kufikiri, kwa akili Kama yako hata mkikutana watu milioni hamuwezi kuimaliza kuijadili CCM. Tuendelee na mjadala Wa chama cha kanda na mwenyekiti Wa maisha
 
CCM ni kubwa kuliko uwezo wako Wa kufikiri, kwa akili Kama yako hata mkikutana watu milioni hamuwezi kuimaliza kuijadili CCM. Tuendelee na mjadala Wa chama cha kanda na mwenyekiti Wa maisha
Kikubwa kwa umri ila kisiasa ni dhaifu mno ni ndio maana mnategemea dola kubaki madarakani.
 
Lkn CCM kuna ukomo wa Uongozi, wakati chadema hakuna na nchi yetu Kikatiba Uraisi una ukomo, hivyo hatuwezi kumuamini mtu ambaye kwenye Chama chake ameshindwa/hataki kuweka ukomo wa Uongozi, that’s why, ...
Kweli kabisa sisi ccm urais na umwenyekiti ni vipindi viwili tu vya miaka mitano baada ya hapo anakuwa Hana haki Tena ya kugombea
 
Ni bora kutokuwa na ukomo kuliko kuruhusu ukomo utakoweza kutumika kutoruhusu wafia chama kugombea nafasi nyeti ndani ya chama maana sasa kwa sasa kuna tuhuma ya uwepo biashara ya utumwa ya watu kununuliwa na kurubuni vyama vyao hivyo tunahitaji zaidi wafia chama kuongoza upinzani kuliko ukomo wa uongozi katika vyama vya upinzani.


Lkn nchi yetu inafwata UKOMO wa Uongozi, labda kama lengo la chadema ni ajira kwa Mbowe &Co. lkn kama mna nia kuja kuongoza nchi, hamtoshi!
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Ni bora kutokuwa na ukomo kuliko kuruhusu ukomo utakoweza kutumika kutoruhusu wafia chama kugombea nafasi nyeti ndani ya chama maana sasa kwa sasa kuna tuhuma ya uwepo biashara ya utumwa ya watu kununuliwa na kurubuni vyama vyao hivyo tunahitaji zaidi wafia chama kuongoza upinzani kuliko ukomo wa uongozi katika vyama vya upinzani.
Kwani biashara ya kununua watu muasisi wake ni nani?...watu wamenunuliwa kipindi mbowe akiwa mwenyekitu....Keteni MTU atakayekomesha biashara hii
 
Lkn CCM kuna ukomo wa Uongozi, wakati chadema hakuna na nchi yetu Kikatiba Urais una ukomo, hivyo hatuwezi kumuamini mtu ambaye kwenye Chama chake ameshindwa/hataki kuweka ukomo wa Uongozi, that’s why, ...

Mbona hatujawahi kusikia mwekiti ccm anashindana na wanachama wengine?

Bora huku CHADEMA
watu wanashindana

CCM hakuna ushindani hiyo demokrasia ya wapi?
 
Naona Chadema wamevamia industry ya bongo movie. Hayo maigizo ya uchaguzi wa mwenyekiti ni uhuni mkubwa, mfalme anajulikana. Kwanza ashawakata miguu washindani wake wote halafu ndo anajidai eti uchaguzi. Choleni michezo yenu vizuri.
 
Naona Chadema wamevamia industry ya bongo movie. Hayo maigizo ya uchaguzi wa mwenyekiti ni uhuni mkubwa, mfalme anajulikana. Kwanza ashawakata miguu washindani wake wote halafu ndo anajidai eti uchaguzi. Choleni michezo yenu vizuri.

2020 ccm lazima uchaguzi

Mwenyekiti apiganie nafasi kwa kura sio ufalme.
 
Cha ajabu, watu hawa ambao kwao ni mwiko kum-challenge Rais alie madarakani katika kugombea uraisi kupitia chama chao,ni watu hawa hawa wako busy kumshambulia Mbowe na CHADEMA kwa ujumla kisa tu Mbowe kaamua kugombea tena.

Hawa watu ni wanafiki sana na lengo lao kubwa sio kutetea demokrasia, bali ni kutaka kuweka pandikizi lao ili lije kuyumbisha chama kwa masilahi yao ya kisiasa.

Msisahau kuna mtu ameapa kuangamiza upinzani na hawa wanafiki wanaojidai kutetea demokrasia ndani ya upinzani, hawajawi kumpinga mwenyekiti wao anaetaka kuua demokrasia ya vyama vingi.Wanafiki wakubwa!!

Lingine la ajabu, ni watu hawa kufurahia wagombea wao kupita bila kupingwa kama tulivyoona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tena kwa kutumia mbinu zenye utata alafu watu hao hao wanataka Mbowe asigombee bali aachie wengine wakidai ndio demokrasia.Wanafiki sana!!

CHADEMA kamwe msiwasikilize CCM kwani hawatahili kuwashauri chochote na kama wana cha kushauri,basi waanze kushauri ndani ya chama chao ambako hata demokrasia ya kuchaguana kwa sasa ni mtihani.

Mchakato wa kupata wagombea kupitia kura za maoniu ndani ya CCM ni mfano mzuri wa nini kinaendele leo hii ndani ya chama chao kuhusu demokrasia na haki ya mtu kuchagua ama kuchaguliwa.

Mwisho,CHADEMA chagueni mtu makini na mfia chama (awe Mbowe au mtu mwingine yoyote yule) mradi tu awe ni mtu ambae kamwe hatoweza kutumika kutimiza adhima ya Bwana yule ya kutaka kuua vyama vya upinzani nchini.

Sambamba na sifa nyingine,sifa ya muhimu na ya kuingalia kwa jicho la tatu katika kuchagua mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa, ni awe mtu ambae hatoweza kutikikiswa wala kushawishiwa kwa namna yoyote ili mpaka afikie hatua ya kusalimu amri na kukibomoa chama, vinginevyo tutakuja juta huko mbeleni.

Bwana yule uchaguzi huu kwake ni muhimu kuliko hata wa ndani ya chama chake.
Issue ni ukomo wa madaraka, ccm chair akikaa ten yrs anasepa, lakini huyo mfalme sasa kahamia kwenye maigizo ya uchaguzi, mwambieni yeye akae pembeni wagombee wengine. Hapo hakuna uchaguzi ni maigizo tu
 
2020 ccm lazima uchaguzi

Mwenyekiti apiganie nafasi kwa kura sio ufalme.
Yaani MTU ni chairman toka MTU anazaliwa mpaka anakuwa anasoma anapata kazi anaoa/kuolewa mpaka na yeye anazaa bado tu jamaa chairman! You are not serious!
 
Yaani MTU ni chairman toka MTU anazaliwa mpaka anakuwa anasoma anapata kazi anaoa/kuolewa mpaka na yeye anazaa bado tu jamaa chairman! You are not serious!

Anapigiwa kura anashinda wenzake wa cdm

Je ? Huyo wa ccm uliona wapi anapigiwa kura akishindanishwa na mwanaccm mwengine?
 
Kama ccm inajuwa demokrasia toene wanapambana ilikushinda uenyekiti sio ufalme
 
Yaani kwamba chama asipoongoza mbowe kinakufa! Je hiyo ni taasisi kweli ya kuiamini? Yaani hakuna mtu. Mwingine anayefaa? Au. Mbowe pumzika tumekuchoka bana tunataka mawazo mapya.
 
CCM ni kubwa kuliko uwezo wako Wa kufikiri, kwa akili Kama yako hata mkikutana watu milioni hamuwezi kuimaliza kuijadili CCM. Tuendelee na mjadala Wa chama cha kanda na mwenyekiti Wa maisha
CCM ingekuwa kubwa isingelitegemea jeshi la polisi,mahakama wala Tume ya Uchaguzi na sasa hivi Wakurugenzi na watendaji wa kata na mitaa kupata ushindi.
 
Dah kama hawaruhusu mgombea mpaka miaka 10 sasa huyu kachero kaka me atapitia wapi 2020 au atahama hee wacha tusubiri mda utasema tu
 
Lkn CCM kuna ukomo wa Uongozi, wakati chadema hakuna na nchi yetu Kikatiba Urais una ukomo, hivyo hatuwezi kumuamini mtu ambaye kwenye Chama chake ameshindwa/hataki kuweka ukomo wa Uongozi, that’s why, ...
Hakuna ukomo kama anachaguliwa! Sasa kuna ubaya upi kama mtu anachaguliwa kwenye chama ambako hawezi kuunda tume ya kumuibia matokeo, kuweka polisi na jeshi LA kuchakachua kura?
CCM hata mtu akitaka hata kuchukua fomu ya kugombea urais anaitwa mhaini na majina yote mabaya. Membe angekuwa sio kachero angesha imbiwa parapanda kwa kuonyesha nia tuu ya kuchukuwa fomu! CCM ni zaidi ya UNITA
 
Cha ajabu, watu hawa ambao kwao ni mwiko kum-challenge Rais alie madarakani katika kugombea uraisi kupitia chama chao,ni watu hawa hawa wako busy kumshambulia Mbowe na CHADEMA kwa ujumla kisa tu Mbowe kaamua kugombea tena.

Hawa watu ni wanafiki sana na lengo lao kubwa sio kutetea demokrasia, bali ni kutaka kuweka pandikizi lao ili lije kuyumbisha chama kwa masilahi yao ya kisiasa.

Msisahau kuna mtu ameapa kuangamiza upinzani na hawa wanafiki wanaojidai kutetea demokrasia ndani ya upinzani, hawajawi kumpinga mwenyekiti wao anaetaka kuua demokrasia ya vyama vingi.Wanafiki wakubwa!!

Lingine la ajabu, ni watu hawa kufurahia wagombea wao kupita bila kupingwa kama tulivyoona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tena kwa kutumia mbinu zenye utata alafu watu hao hao wanataka Mbowe asigombee bali aachie wengine wakidai ndio demokrasia.Wanafiki sana!!

CHADEMA kamwe msiwasikilize CCM kwani hawatahili kuwashauri chochote na kama wana cha kushauri,basi waanze kushauri ndani ya chama chao ambako hata demokrasia ya kuchaguana kwa sasa ni mtihani.

Mchakato wa kupata wagombea kupitia kura za maoniu ndani ya CCM ni mfano mzuri wa nini kinaendele leo hii ndani ya chama chao kuhusu demokrasia na haki ya mtu kuchagua ama kuchaguliwa.

Mwisho,CHADEMA chagueni mtu makini na mfia chama (awe Mbowe au mtu mwingine yoyote yule) mradi tu awe ni mtu ambae kamwe hatoweza kutumika kutimiza adhima ya Bwana yule ya kutaka kuua vyama vya upinzani nchini.

Sambamba na sifa nyingine,sifa ya muhimu na ya kuingalia kwa jicho la tatu katika kuchagua mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa, ni awe mtu ambae hatoweza kutikikiswa wala kushawishiwa kwa namna yoyote ili mpaka afikie hatua ya kusalimu amri na kukibomoa chama, vinginevyo tutakuja juta huko mbeleni.

Bwana yule uchaguzi huu kwake ni muhimu kuliko hata wa ndani ya chama chake.
Yaani ukitaka kuchukua tu form ucompete na mwenye chama chake huko lazima utekwe na wasiojulikana!! Ngoja tuone 2020 membe atakavyo vunja hiyo Taboo yao ya miaka 10 10.
 
Back
Top Bottom