Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wanajua kuwa kwa tume hii haya yatatokea na hata mapingamizi ya jana Tundu Lissu alijua kuwa Tume hii haiwezi kuona haki kwa kiwango hicho, lakini akapinga tu ili wananchi waone uovu wa tume. Hata matokeo ya mwisho wanajua yatakavyotangazwa lakini kuingia kwenye uchaguzi ilikuwa uamuzi sahihi. Swali hapa ni kuwa nini kitakachofuatia? Baada ya haya watafanya nini? Watanyamaza? Watashitaki? Au nini hatimaye?Mkuu haya yalifahamika mapema kwamba yatatokea , kila kanda ina timu makini sana ya wanasheria wanasimamia jambo hili kwa ukamilifu kabisa
Umeamdika vizuri sana tena sana. Mwanahabari HuruSwali hapa ni kuwa nini kitakachofuatia? Baada ya haya watafanya nini? Watanyamaza? Watashitaki? Au nini hatimaye?
Umeandika vizuri sna. Busara tupu. Sasa CDM na ACT???? (sina imani nao) wakutane to deliberate on What next! Mwanahabari HuruChadema wanajua kuwa kwa tume hii haya yatatokea na hata mapingamizi ya jana Tundu Lissu alijua kuwa Tume hii haiwezi kuona haki kwa kiwango hicho, lakini akapinga tu ili wananchi waone uovu wa tume. Hata matokeo ya mwisho wanajua yatakavyotangazwa lakini kuingia kwenye uchaguzi ilikuwa uamuzi sahihi. Swali hapa ni kuwa nini kitakachofuatia? Baada ya haya watafanya nini? Watanyamaza? Watashitaki? Au nini hatimaye?
Acha upimbi wee bwege, una ushahidi gn kuwa Kuna hela zimetoka nje ya nchi?? Kwn kuzidundua kampeni ndo mwisho wa kukata rufaa Tume au hata kwenda mahakamani?? Kote ambako hatujaenguliwa kampeni zimeanza ..usiandike Kama umebanwa na tumbo la kuharaWataachaje kampeni wakt wameshachukua ela za mabeberu kwa kuwadanganya kuwa wanakubalika na watashinda uchaguzi?
Inashangaza sana chama ambacho kinajinasibu kuwa kitashinda uchaguzi sasa unajiuliza inamaana chadema na usomi wao wanashindwa kujua huwezi kuunda serikali usipokuwa na wabunge wa kutosha au nia yao ni kupata Urais tu? Lissu ameshawadanganya mabeberu kuwa watashinda na ukweli Chadema wanajua kabisa hawana ubavu wa kushinda uchaguzi ndo maana kutwa Lissu anafanya visa ili tu mabeberu waone anaonewa kuwekewe vikwazo kwa taarifa yake tutawangalia tu wala hatumgusi ataguswa na box la kura pale atakapopata chini ya 5%
Chadema wamewekeza nguvu nying kwa nafasi ya Urais wameshindwa kujua wanatakiwa kuwa na wabunge wengi ambapo hata wasipopata urais wanaweza kubadili mambo mengi kikatiba kupitia wabunge wao
Aisee, wewe unanifanya nicheke kama vile haya mambo ni mazuri na ndugu yangu Mmawia kafanyiwa ndivyo sivyo.Team hiyo itafanya nini kuunda tume mpya ?!
Sijawahi kusikua team inatengua matokeo ya tume.
Mara zote nimesikia maamuzi ya tume ni final na asiyekubali anashauriwa kwenda mahakamani.
Walipaswa wawe walisha rekebisha matatizo yote kabla ya matokeo, badala ya kuunda team baada ya matokeo.
Pita zako mkuu kwn lazima uchangie? Unafikiri hayo hayajafanyika?Msituletee Mambo ya kijinga hapa..kwanini msiende tume wawaeleweshe mnatuelezea elezea Nini hapa
Mkuu Lissu ukiwa na akili Kama za kwako au zangu kumuelewa Lissu inahitaji muda.Unakumbuka tulivyomnanga Lissu kwa kutokuhakiki wadhamini wake kule majimboni? Mwisho wasiku inaonekana Magufuli ndo hajui sheria ya uchaguzi inasemaje pamoja na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali na wazara ya katiba na sheria kuwa chini yake.Kwa hiyo hata hili tusubilie tu tutajua maana yake muda ukifikaUmechelewa,
Niliandika jana hapa kwamba Lisu angekuwa na akili angetumia ule muda aliotumi kumuwekea Magufuli pingamizi katika kushughulikia na kuwasaidia wabunge wake kwenye majimbo walioenguliwa.
Badala yake yeye akaenda kutafuta sifa ili amfurahishe beberu wake amsterdam na wafuasi wake w mitandaoni.
Kwenye uzinduzi huo tuaelezwa hila zilizopo na kwanini CCM isichukiwe. Usimuombee upinzani wako kwenye mechi apate ajali njiani anapokuja kwenye pambano, nawe utaukosa ushindi.View attachment 1550294
Baada ya kumsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara,kamanda Bensoni Kigaila, nimepoteza hata hamu ya kufuatilia uzinduzi wa kampeni kwani kwa idadi ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA walioenguliwa mpaka sasa, naweza kusema inatisha huku msemaji mwenyewe akiweka wazi kuwa idadi ya wanaogombea udiwani ndio kubwa zaidi na angesema aiongelee, basi angetumia muda mrefu sana.
Mazingira haya kwangu mimi yananiondolea kabisa hata ile hamu ya kufuatilia huo uzinduzi kwani naona hawa mabwana kwa sasa ni kama wanatuchora tu.
Ushauri wangu ni bora kupambana kwanza juu ya hili kabla hamjaendelea na huo uzinduzi kwani hai-make sense kufanya uzinduzi huku wagombea ubunge zaidi ya 50(kwa maelezo ya Kigaila) kwa tiketi ya CHADEMA wakiwa katika hatihati ya kukosa nafasi ya kuwa wagombea huku idadi ya wagombea udiwani nchi nzima ikiwa ni kubwa zaidi.
Ni bora uongozi wa CHADEMA Taifa mkalipa uzito jambo hili vinginevyo mtavunja moyo wenzenu ambao wako katika hatihati ya kukosa haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa.
Napata wasiwasi kuwa huenda hata huo uzinduzi nao ukahujumiwa kama wagombea wetu walivyohujumiwa.
Hata hivyo, naungana na Bensoni Kigaila kwa aliyoyasema na kwakweli ametoa onyo kali kuhusu hujuma hizi na ninaona kuna giza nene huko mbeleni iwapo busara itakosekana hasa kwa wenye mamlaka.
Tuombe Mungu kwani "tone" ya Kigaila haikuwa ya mchezo na ni wazi wamedhamiria kudai/kutafuta haki kwa gharama yoyote.
Hii mijinga ya lumumba hajitambui, yaani inashabikia dhulma ikidhani yenyewe ipo salama sanaSasa kuondolewa kwa hila ni dalili kuwa hawakubaliki, au hujui unaoongea nini?
Kama kuna timu mawe ya nini sasa!Kuna team tayari imeundwa kushughulikia hilo tatizo mkuu ondoa shaka