Hatimaye wanachuo wa SUA walamba böoom' duh mwaka wa kwanza ni ful kucheka na ATM machine.
ni full kucheka ukiwa makin ukizubaa utakua full kulia!!!! NA UJUE HUO NI MKOPO NA SIO MSAADA!!!! NENDA PINDI SELAA...
DAH YAAANI WANGETOA MUCCoBS LEO, NINGEENDA KUKESHA LA-LIGA CLUB
Achana na hii hela hamna jinsi tu, lakini wakati tulipoanza kuirudisha basi tuliona mioyo inaripuka, ukiangalia matumizi
tuliyoyafanya mbali na yale malengo wakati mwengine unajutia!!!
Nawashauri vijana wawe makini na boom na pia wazingatie masomo!!!
thanx alot mkuu.......Achana na hii hela hamna jinsi tu, lakini wakati tulipoanza kuirudisha basi tuliona mioyo inaripuka, ukiangalia matumizi
tuliyoyafanya mbali na yale malengo wakati mwengine unajutia!!!
Nawashauri vijana wawe makini na boom na pia wazingatie masomo!!!