Wakuu humu kwenye jukwaa kuna matapeli wanajifanya wanunuzi nitawataja ID zao.Juzi kati walitaka kunitapeli nikawashtukia.Itabidi watajwe tu ili kila mmoja awafahamu na waache tabia yao ya kutia aibu jukwaa.
Mkuu kuwa nao makini sana wapo wengi tu hadi kwenye magari.Kuna matapeli wa sinza walitaka kutukamatisha hela bandia baada ya mauziano ya hiace.Nilikatisha biashara haraka sana sikuwaamini tena hata walivyojaribu kujitetea.Waliingiza hela nusu account halafu iliyobaki wakasema watanilipa cash kwa dollar.Loh,kumbe dollar fake.Pole sana
Ilikuaje ukawashtukia mkuu?na mwisho wake ilikuaje?Mkuu kuwa nao makini sana wapo wengi tu hadi kwenye magari.Kuna matapeli wa sinza walitaka kutukamatisha hela bandia baada ya mauziano ya hiace.Nilikatisha biashara haraka sana sikuwaamini tena hata walivyojaribu kujitetea.Waliingiza hela nusu account halafu iliyobaki wakasema watanilipa cash kwa dollar.Loh,kumbe dollar fake.
Mkuu 200,000/; huchukui nahitajiIlikuaje ukawashtukia mkuu?na mwisho wake ilikuaje?
Nimefanya kazi JNIA hivyo dollar nimecheza nazo sana mkuu.Fake inajulikana tu.Ilikuaje ukawashtukia mkuu?na mwisho wake ilikuaje?
Hainilipi mkuu.Mwisho kabisa 240,000.Mkuu 200k huchukuh? Nahitaji
Nauza complete mkuu siuzi kimoja kimoja.Nataka headphones zake itanifanyia sh ngap
Chukua simu iyo mkuu wateja ni wengi anaweza tokea mteja akasema 300k badala ya 260 ujuemkuu chukua 210000 njoo PM