Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,727
- 3,741
Jaribu kucheki na wauza vitabu wa dar, mimi nilikinunua kariakoo kwa muuza vitabu aliye karibu na Club ya Simba. Jaribu kwa wauza vitabu mbalimbali mkuu. Mi kuna mtu nimemuazima, naona anagoma kunirudishia.VIP mkuu hicho Kitabu kinapatikana wap nami nahitaji