issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,137
Safi sana mwanajamii Kwa kuona hili
What are you up to Mr.?!!!
Na hapa vp....Hii unaweza kutuma tena inagoma
Hivi hii kitu bado inapatikana kweli?Alfu Lela U Lella
kwenye list yako embu ongeza hichiA coffin from Hong Kong
Marlow
Have a nice night
Just a matter of time
Come easy go easy
By: James Hadley Chase
kitabu ndio kinaitwa jina hilo?Pia nasoma SITAOGOPA KUPELEKA INJILI KATIKA NCHI ZA KIKOMUNISTI.
Mimi si mtu mwenyemitazamo ya kidini ila hiki kitabu nimekivulia kofia. Ni simulizi ya kweli kumhusu Rudolf raia wa Uswisi na harakati zake huko Asia, Uerope, na pia hapa Afrika.....hii ni miaka kablda ya uhuru wa nchi nyingi Afrika na baada ya uhuru pia.
Ukisoma hiki kitabu hutotamani ukimalize. Najiwazia hapa kila kijana angekuwa na moyo wa Rudolf mambo mengi sana yangetima katika life ya vijana.
Weka humu chiefBook 'Be employed with plan B in mind' - By Elizabeth C. Samoja
Ipo mkuu ingia Play store kisha pakua ARABIAN NIGHTHivi hii kitu bado inapatikana kweli?
Kitabu kizuri sana huwa natamani kingesomwa na kila mtu. Ningekuwa mzuri kwenye tafsiri ningekiweka kwa Kiswahili.
Huu uzi ukifika page 20 ni bahati. Anzisha sasa uzi wa kupeana "likes" tangu uanzishe ungekuwa umeshakuwa STICKY
VIP mkuu hicho Kitabu kinapatikana wap nami nahitajiHiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.