Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

The hunter-by Tom wood.
The grayman-by Mark greaney.
On Target-by mark greaney
Deadeye-mark Greaney
ballistic-mark greaney
 
The hunter-by Tom wood.
The grayman-by Mark greaney.
On Target-by mark greaney
Deadeye-mark Greaney
ballistic-mark greaney
 
tmp-cam-1699454520.jpg
 
Whip not child.
The river between
No longer at easy
An ace up my sleeve
Knock knock !! whose there?
Mined boy
 
Hiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
Mkuu tafadhali naomba namm hizo contacts ili nipate hiyo collection ya "jitambue" ya Munga Tehenan MUNGU amrehemu sana,.magazeti yake ya jitambue na mshauri wako ninayo mpka leo(baadhi)kwa kumbukizi zake zisizochosha na kuisha hamu alikuwa na vitu adimu saana..
 
Back
Top Bottom