Ndugu wana JF na hasa pia wale waliokua wakifuatilia mashindano ya Kumtafuta mkali wa bong flavour, yaan Bongo Star Search. Nawapongeza BenchMark kwa kuinua vipaji vya wanamuziki. Mpaka sasa wameshafanya mashindano kwa miaka miwili.
Lakini mashindano ya mwaka huu na wengi mnaweza kukubali hiyo, hayakua huru na haki kabisa. Yaani hayana tofauti na uchaguzi uliofanyika Kenya Mwaka jana mwishoni. Katika mashindaono haya, walikua wanahimiza sana mashabiki kupiga kura kwa mshiriki waliyekua wanayehisi anafaa kuwepo na mwenye kura ndogo hutolewa. Mwaka huu haijulikani washindi walipata kura ngapi, hata mshindi wa mwaka huu hawakuonesha aliwashinda wenzake kwa kura ngapi za mashabiki. Panapokua na kupiga kura halafu kura hazitaji & na haijulikani ni ngapi lakini mshindi anapatikana basi sichelewi kusema mshindi alipangwa. Kwa nini katika kila stage kura hazikuwekwa hadharani? Labda wana JF mnaweza kunisaidia hapo kama hili ni sahihi kura kupigwa, mshindi kutangazwa bila kuonesha amepata kura ngapi!!!!!!!!!!! Inasikitisha kwa kweli, uizi wa kura haupo kwenye uchaguzi wa kisiasa tu, hata kuku kwenye mashindano, kwa nini kuwe na uficho wa kura kwa mashabiki? Huu pia unaweza kua ufisadi wa kura. Nisaidieni hapo. Tukiendelea hivi mashindano haya yatapoteza mashabiki, tunapopiga kura ndiko wanakopata pesa za kuzawadia washindi na faida juu, sasa wanaanza kuleta utani. Inasikitisha sana
Lakini mashindano ya mwaka huu na wengi mnaweza kukubali hiyo, hayakua huru na haki kabisa. Yaani hayana tofauti na uchaguzi uliofanyika Kenya Mwaka jana mwishoni. Katika mashindaono haya, walikua wanahimiza sana mashabiki kupiga kura kwa mshiriki waliyekua wanayehisi anafaa kuwepo na mwenye kura ndogo hutolewa. Mwaka huu haijulikani washindi walipata kura ngapi, hata mshindi wa mwaka huu hawakuonesha aliwashinda wenzake kwa kura ngapi za mashabiki. Panapokua na kupiga kura halafu kura hazitaji & na haijulikani ni ngapi lakini mshindi anapatikana basi sichelewi kusema mshindi alipangwa. Kwa nini katika kila stage kura hazikuwekwa hadharani? Labda wana JF mnaweza kunisaidia hapo kama hili ni sahihi kura kupigwa, mshindi kutangazwa bila kuonesha amepata kura ngapi!!!!!!!!!!! Inasikitisha kwa kweli, uizi wa kura haupo kwenye uchaguzi wa kisiasa tu, hata kuku kwenye mashindano, kwa nini kuwe na uficho wa kura kwa mashabiki? Huu pia unaweza kua ufisadi wa kura. Nisaidieni hapo. Tukiendelea hivi mashindano haya yatapoteza mashabiki, tunapopiga kura ndiko wanakopata pesa za kuzawadia washindi na faida juu, sasa wanaanza kuleta utani. Inasikitisha sana