beat tu ile kwa mfuatiliaji wa hawa producers utajua yule ni master jay pia tulia ya temba na ray c ni dunga sio p wal jayDemu wangu ninachofahamu ilitengenezwa na Mj. Na ninakumbuka iliwekwa kwenye compilation album iliyokuwa na nyimbo mchanganyiko za Mj Records
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si nasikia MJ ndiye aliyemfundisha kazi Majani?P-funk majani..baba lao..alinipigia starehe ya ferooz hatari sana ....Master J hamna kitu, dharau nyingi na ujuaji hata mziki hajui...ila kanitolea dogo anaitwa Daxo chali, yupo poa dogo..alinipigia kidebe ya dogo njanja nikamuelewa
HakikaJamn majani muacheni kumchanganya na vitu vya kijinga...yaan hapa kwenye play list yangu 95% ni ngoma za bongo records tena miaka ya 2000
Naomba Audio ya Demu wangu bymchizi mox ft ng'weaUnachanganya mikasi na demu wangu, demu wangu ndio ngoma za mwisho mwisho za mj kabla ya kumuajili marko chali.
View attachment 1001059
View attachment 1001062n
===
Master J - Mj Records.
1. Nakupenda tu - konki
2. Sintobadilika - Mike T
3. T shirt na Jeans - university corner
4. Tanga Kunani - wagosi wa kaya
5. Sifai - Q Jay
6. Ingewezekana - D knob
7. Kariakoo - dully sykes
8. Niite basi - joseline
9. Mi msai - mr ebo
10. Huyu na Yule - Fid Q
11. Bab kubwa - planet 2000
12. Demu wangu - Ngwea na mchizi mox.
13. Nakuhusudu - Mr paul
14. Tulia - Mh temba ft Ray c
P funk - Bongo Records.
1. Gheto langu - Ngweah
2. Piga makofi - prof jay
3. Sitaki demu - Juma Nature
4. Kibanda cha simu - Sogy Dogy
5. Mwanza Mwanza - fid Q
6. Usinichukie - Afande Sele
7. Bosi - Ferooz
8. Imekaa Vibaya - Kali P
9. Ya leo Kali - Wachuja Nafaka.
10. Nipe tano - Daz Nundaz
11. Hakuna Kulala - nature
12. Dj - Sister P
13. Nakupenda - Mike T ft Nature
14. Nikupe nini - Mandojo na Domokaya
Hizi ni baadhi ya nyimbo kutoka kwa Mj chino ya mj records na Majani chini ya Bongo Records
Aliekwambia na ukasikia alikubugisha..P funck ndo aliomfundisha Master j kupiga kick na seats mbali mbali labda mellods baada ya p kupewa vyombo vya kurekodia mziki na wazazi wake uko ughaibiniLakini si nasikia MJ ndiye aliyemfundisha kazi Majani?
Pfunk majani alikuwa mtu mwingine yaana mfano ile ngoma ya nipe tano unaweza sikiliza beat tuu hata bila kuimba uka enjoy
Man was genius
NIPE 5 ile beat tamu sana kumgongea demu huku hajavua pichu!
😂 😂 😂 😂 😂NIPE 5 ile beat tamu sana kumgongea demu huku hajavua pichu!