Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
Hili ni bonge la kazi, hii filamu imeakisi kabisa maisha halisi ya watanzania, imechezwa na wasanii wa muziki akiwemo fid q, salu T, one the incredible, wakazi, songa, lamar na wengine wengi, ipo youtube kaitazame nina uhakika hautajutia mbs zako