Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,905
- 13,348
Bonge ya movie aisee haina tofauti na Nairobi half life
Haha!, umenikumbusha yule mhindi kwenye iyo movie alivyom-mind dogo kuhusu radio
Bonge ya movie aisee haina tofauti na Nairobi half life
Pale one alipokuwa ananawa maji mara anatokea yule demu akasema siku nyingine ukiwa una nyege utajitomba mwenyewKwani hii imeshatoka official? Naona ni bonge la movie yani sipingani na mleta uzi nimeangalia sijajutia mbs zangu wadau wamejua nini wanafanya na wameigiza uhalisia hawajaigiza maigizo..
Makosa ni ngumu kuyaepuka ila sio mengi kama moviez za wakali wa hii tasnia hapa nnchini. Big up sana kwa hawa wadau na washiriki wa hii kitu
Pia nawaza kama ni official released vipi kuhusu lugha kali zilizo tumika mule kama vile Mseng☆, Nyeg*, qutomb@?
Yaah! hapo hapo mzee nilicheka sana asee ila wamegusa kabisa life halisi la mtaaPale one alipokuwa ananawa maji mara anatokea yule demu akasema siku nyingine ukiwa una nyege utajitomba mwenyew
Ngoja nielekee kuicheck[
ukimaliza naomba utuletee summary
yah! imefanana kwa kiasi chake sema ile ya Nairobi half life tory yake ni tamu zaidiBonge ya movie aisee haina tofauti na Nairobi half life