Bongo muvi kwishney

cj21125

JF-Expert Member
May 12, 2013
2,764
1,925
Miaka mitatu iliyopita ukiwa mtaani unakuta mabanda ya kuonyeshea muvi za Bongo kwa kiingilio kikubwa kutegemeana na nani aliyecheza hiyo muvi. Lakini sasa hivi limebaki jina tu na mabanda yamegeuzwa vijiwe vya wavuta bange na wanywa gongo. Kunani pale Bongo muvi? Mmeishiwa au?
 
Miaka mitatu iliyopita ukiwa mtaani unakuta mabanda ya kuonyeshea muvi za Bongo kwa kiingilio kikubwa kutegemeana na nani aliyecheza hiyo muvi. Lakini sasa hivi limebaki jina tu na mabanda yamegeuzwa vijiwe vya wavuta bange na wanywa gongo. Kunani pale Bongo muvi? Mmeishiwa au?
Life is so fast, and its so changing. Bongo movie bado ipo ila bado hawajampata key player kama alivyokuwa kanumba! Naturally it takes a time to replace a strong star, but he must be replaced even if my changing the style of the game! Time is a good healer!
 
Life is so fast, and its so changing. Bongo movie bado ipo ila bado hawajampata key player kama alivyokuwa kanumba! Naturally it takes a time to replace a strong star, but he must be replaced even if my changing the style of the game! Time is a good healer!

They thought if they kill him they will pick up, unfortunately he took both his and their fates. His death took them down as well, I don't see this generation bringing us something new, the guy was giving them challenges, getting his share and them getting something out of the competition/collabo to/with him.
 
They thought if they kill him they will pick up, unfortunately he took both his and their fates. His death took them down as well, I don't see this generation bringing us something new, the guy was giving them challenges, getting his share and them getting something out of the competition/collabo to/with him.
U want to tell us "Bongo Movies" killed Kanumba? kesi haijaisha mahakamani ya Lulu unaweza kuisadia mahakama
 
U want to tell us "Bongo Movies" killed Kanumba? kesi haijaisha mahakamani ya Lulu unaweza kuisadia mahakama

Unakumbuka kama Lulu tayari alikuwa ameshafanya Birthday ya kutimiza miaka 18 kabla ya jela?

Baada ya kutoka jela alifanya sherehe nyingine aliyoiita official 18, ukiziona picha za hii sherehe utawaona watuhumiwa wote wa yale mauaji wanavyosherehekea, akiwemo Dk Cheni (ambaye inasemekana kwamba simu yake ndio chanzo cha ugomvi), Ali Kiba (Ambaye ndiye aliyempa lift Lulu baada ya mauaji).

Akili za kuambiwa.
 
Unakumbuka kama Lulu tayari alikuwa ameshafanya Birthday ya kutimiza miaka 18 kabla ya jela?

Baada ya kutoka jela alifanya sherehe nyingine aliyoiita official 18, ukiziona picha za hii sherehe utawaona watuhumiwa wote wa yale mauaji wanavyosherehekea, akiwemo Dk Cheni (ambaye inasemekana kwamba simu yake ndio chanzo cha ugomvi), Ali Kiba (Ambaye ndiye aliyempa lift Lulu baada ya mauaji).

Akili za kuambiwa.

Achana na mambo ya uswahilini mkuu.. Muombee Steve apumzike kwa amani acha kujazia nyama kwenye mfupa
 
Mi nawaambiaje bongo movie ni kichefuchefu...hawa jamaa muwaonee huruma bure...hakuna pesa bongo movie ya kuwafanya waumize kichwa...anayeuwa bongo movie ni wahindi ambao huwapunje wasanii na licha ya kuwapunje malipo huwa ni nusunusu wakati msanii kishauza haki zake zote za movie kwa mhindi....hebu fikiria mhindi anakuambia kuwa atakupa milioni kumi na tano lakini hiyo milioni kumi na tano mpaka uipate umefanya kazi kubwa utalupwa nusu nusu mpaka ujute...sasa kwa malipo hayo nani unafikiri atakuja na kitu kipya..ndo maana unakuta movie nzima location inakuwa moja au mbili tu...kiuhalisia ni gharama kushoot movie sasa kwa milioni kumi na tano utayopewa inabidi ushoot kwa shilingi ngapi ili upate faida...mwisho wa siku movie inakuwa haina quality alafu haina ubunifu...mhindi movie inayotakiwa kuwa moja ye anataka ziwe mbili lakini anakulipa kwa malipo ya movie moja..je unafikiri atajituma ili hiyo part one na two ziwe mbili....ndo hapo utapoona mtu anatembea dk kumi nzima ili kupoteza muda..au anaoga wee ili muda tu uende...KAMA MUHINDI NA MADISTRIBUTOR WOTE WANGEKUWA WANALIPA VIZURI BILA SHAKA WATU WANGEJITUMA ZAIDI NA MOVIE INGEWAPA PESA YA KUTOSHA NA KUACHA KUJIHUSISHA NA BIASHARA ZA MADAWA....HAO UNAOWAONA WANAENDELEA JUWA KUNA BIASHARA NYINGINE WANAFANYA ILA KWA MOVIE TU HAWAWEZI KUFIKA POPOTE....SELIKALI INGEINGILIA KATI KWA HII INDUSTRY KIUKWELI ....HAINGII AKILINI MSANII AUZE HAKI ZAKE ZOTE ZA MUVIE TENA KWA HELA NDOGO KIASI HICHO TENA MALIPO YENYEWE YA TABU...NAOMBENI MTAFUTE UZI FULANI WA MTITU NILIWAHI KUUONA HUMU NAYE ALIANDIKA KWA NINI KAACHANA NA STEPS KUFANYA KAZI
 
Bongo Movie ilishaufa zamani,
kilichwabeba wasanii wengi wa bongo movie ni kujishghlisha na drugs, now drugs wamebana basi na wao hawana tena deal!

wanasubiri serikali iinayoongozwa kwa matukio ijikite kwenye tukio lingine biashara iendelee!
 
Unakumbuka kama Lulu tayari alikuwa ameshafanya Birthday ya kutimiza miaka 18 kabla ya jela?

Baada ya kutoka jela alifanya sherehe nyingine aliyoiita official 18, ukiziona picha za hii sherehe utawaona watuhumiwa wote wa yale mauaji wanavyosherehekea, akiwemo Dk Cheni (ambaye inasemekana kwamba simu yake ndio chanzo cha ugomvi), Ali Kiba (Ambaye ndiye aliyempa lift Lulu baada ya mauaji).

Akili za kuambiwa.
ooh kumbe ni watuhumiwa. bad enough ni watuhumiwa through mere allegations kutokana na magazeti ya ndg shigongo.mahakama inamtambua lulu.rip kanumba.
 
ooh kumbe ni watuhumiwa. bad enough ni watuhumiwa through mere allegations kutokana na magazeti ya ndg shigongo.mahakama inamtambua lulu.rip kanumba.

Lulu mwenyewe umesikia ameenda lini mahakamani?
 
Mi nawaambiaje bongo movie ni kichefuchefu...hawa jamaa muwaonee huruma bure...hakuna pesa bongo movie ya kuwafanya waumize kichwa...anayeuwa bongo movie ni wahindi ambao huwapunje wasanii na licha ya kuwapunje malipo huwa ni nusunusu wakati msanii kishauza haki zake zote za movie kwa mhindi....hebu fikiria mhindi anakuambia kuwa atakupa milioni kumi na tano lakini hiyo milioni kumi na tano mpaka uipate umefanya kazi kubwa utalupwa nusu nusu mpaka ujute...sasa kwa malipo hayo nani unafikiri atakuja na kitu kipya..ndo maana unakuta movie nzima location inakuwa moja au mbili tu...kiuhalisia ni gharama kushoot movie sasa kwa milioni kumi na tano utayopewa inabidi ushoot kwa shilingi ngapi ili upate faida...mwisho wa siku movie inakuwa haina quality alafu haina ubunifu...mhindi movie inayotakiwa kuwa moja ye anataka ziwe mbili lakini anakulipa kwa malipo ya movie moja..je unafikiri atajituma ili hiyo part one na two ziwe mbili....ndo hapo utapoona mtu anatembea dk kumi nzima ili kupoteza muda..au anaoga wee ili muda tu uende...KAMA MUHINDI NA MADISTRIBUTOR WOTE WANGEKUWA WANALIPA VIZURI BILA SHAKA WATU WANGEJITUMA ZAIDI NA MOVIE INGEWAPA PESA YA KUTOSHA NA KUACHA KUJIHUSISHA NA BIASHARA ZA MADAWA....HAO UNAOWAONA WANAENDELEA JUWA KUNA BIASHARA NYINGINE WANAFANYA ILA KWA MOVIE TU HAWAWEZI KUFIKA POPOTE....SELIKALI INGEINGILIA KATI KWA HII INDUSTRY KIUKWELI ....HAINGII AKILINI MSANII AUZE HAKI ZAKE ZOTE ZA MUVIE TENA KWA HELA NDOGO KIASI HICHO TENA MALIPO YENYEWE YA TABU...NAOMBENI MTAFUTE UZI FULANI WA MTITU NILIWAHI KUUONA HUMU NAYE ALIANDIKA KWA NINI KAACHANA NA STEPS KUFANYA KAZI

mkuu umetiririka vizuri ila umekosea ktk kuwahusisha wahindi ktk tuhuma za kushuka kwa bongo movies.hawa wenzetu ni watu wa kuchangamkia fursa.wali invest mitaji yao since day one when bongo movie became productive for profit .mind you there was a vacuum in distribution sector and the indians went for it.usambazaji ni jambo ambalo lilitakiwa kufanywa na wabongo wenyewe badala ya mhindi.wadau wazawa ktk bongo movies walitazama vitu viwili tuu,ku shoot na kuigiza (kuuza sura),marketing side ya bongo movie hawakuipa kipaombele.mhindi ambaye tayari alikuwa na mtaji mkononi aka take over ktk distribution.leo tusiwalaumu kwa ujanja wao wa kuchangamkia fursa.nasikia kuna jamaa/muigizaji anaitwa mtitu kashajitambua.amejianzishia kampuni yake ya usambazaji,ingawa kachelewa cos ku- conquer soko la mhindi inabidi uwe mtu wa fitina sana.
 
wana LAANA ya SAJUKI..

sikiliza maneno ya WASTARA kuhusu BONGO MOVIE bajda ya kfo cha mme wake..
 
mkuu umetiririka vizuri ila umekosea ktk kuwahusisha wahindi ktk tuhuma za kushuka kwa bongo movies.hawa wenzetu ni watu wa kuchangamkia fursa.wali invest mitaji yao since day one when bongo movie became productive for profit .mind you there was a vacuum in distribution sector and the indians went for it.usambazaji ni jambo ambalo lilitakiwa kufanywa na wabongo wenyewe badala ya mhindi.wadau wazawa ktk bongo movies walitazama vitu viwili tuu,ku shoot na kuigiza (kuuza sura),marketing side ya bongo movie hawakuipa kipaombele.mhindi ambaye tayari alikuwa na mtaji mkononi aka take over ktk distribution.leo tusiwalaumu kwa ujanja wao wa kuchangamkia fursa.nasikia kuna jamaa/muigizaji anaitwa mtitu kashajitambua.amejianzishia kampuni yake ya usambazaji,ingawa kachelewa cos ku- conquer soko la mhindi inabidi uwe mtu wa fitina sana.
Yap mkuu nimekupata..ni kweli jamaa walichangamkia fursa na imewalipa hasa...lawama zangu zimeenda kwa hawa jaa coz ndo wanaowalipa wasanii pesa kiduchu na kuwakatisha tamaa ya kuendeleza vipaji vyao. Hawa jamaa wanachofanya ni zaidi ya unyonyaji na kwa vile wao ndo wasambazaji wakubwa basi inawafanya watawale soko la usambazaji...so wao wanahusika moja kwa moja kuuwa hili soko...hebu fikiria wangekuwa wanawalipa vizuri wasanii wangefanya kazi mbovu....kanumba mwenyewe ilikuwa inamlazimu atoe muvie nyingi ili iweze kumlipa...we fikiria ndani ya miezi sita alikuwa anatoa movie tatu au zaidi ambapo kwa makisirio ni wastani wa miezi miwili kwa kila movie je itakuwa movie kweli...hata kama ingekuwa movie ya kutengenezea studio tu haingekuwa kwa kasi. Namna hiyo....niamini kama soko litalipa vizuri hata wasanii watafanya kazi nzuri tofauti na sasa ambapo muigizaji analazimika kuwa location manager, huyohuyo director, huyohuyo anashughurika na makeup huyohuyo...kaandika stori, huyohuyo kahariri, huyohuyo kafanya editing....kwasababu hana uwezo wa kuwalipa hawa watu wote
 
Kifo cha Kanumba ni tragedy kwao wote kuanzia kaole mpaka msanii mmoja mmoja na kama kuna watu walihusika basi ndo mwanzo wa kaburi lao make nasikia wengine wanapanga kuachana na fani hii imegeuka hasara ,kilichobaki mapenzi tu na kueneza wadudu
 
Back
Top Bottom