Bongo movie Sasa wamezidi

achana na hiyo me niliangalia movie ya kibongo mtu anaendesha gari akapigwa risasi ya kichwa akapaki kwanza gari pemben ndio akafa RIP BONGO MOVIE
Sasa nan muongo zaidi kati ya bongo .movie na wahindi.....tuambie na RIP Bollywood utaeleweka...
 
Jana niliachwa ho mtu anagonga mlango sasa "nani" kwa kiingereza ni "who is it" kwa kuwa mi mwenyewe la saba nikabaki natoa macho tu na hiyo subtitles
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom