Kukosoa kosoa ovyo bila kuja na njia mbadala ni dalili za mtu mpuuzi.Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa
Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
SioKama wewe sio
ha ha ha ha sikutegemea brother ha ha ha ubaoNimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa
Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
Yaani umebisha uwepo wa ubao, HALAFU UKAOMBA UELEWESHWE... kwa hiyo umebisha usichokijua?Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa
Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
ha ha ha...kama wasipobadilika ,kifo cha mende kinawahusu!achana na hiyo me niliangalia movie ya kibongo mtu anaendesha gari akapigwa risasi ya kichwa akapaki kwanza gari pemben ndio akafa RIP BONGO MOVIE
Sasa nan muongo zaidi kati ya bongo .movie na wahindi.....tuambie na RIP Bollywood utaeleweka...achana na hiyo me niliangalia movie ya kibongo mtu anaendesha gari akapigwa risasi ya kichwa akapaki kwanza gari pemben ndio akafa RIP BONGO MOVIE
Nyingine polisi kamkamata mtuhumiwa anamwambia apande gari subtittle "plant a car "Jana niliachwa ho mtu anagonga mlango sasa "nani" kwa kiingereza ni "who is it" kwa kuwa mi mwenyewe la saba nikabaki natoa macho tu na hiyo subtitles
UongooNyingine polisi kamkamata mtuhumiwa anamwambia apande gari subtittle "plant a car "