Hiyo niliiona hata mimi ila jina tu ndo sikulishikaNiliangalia moja aliyatafsiri pale kwa kiingereza ni balaa maana figo anaziita lungs
Hahahahha mothrfkr tecno p5 hahahha tz jf bhnUkiangalia subtitle zao ni tofauti na kinachosemwa,,mimi kidogo naona ray yupo vizuri,kuna movie yake moja niliiona kwa bahati mbaya,,,ila kusema ukweli kinachowaua bongo movie ni hawa ma up comings wanaboa sanaa,bora kingewekwa kiwango cha chini cha kutengenezea movie mfano m60 ili vitu vieleweke,ukakuta movie wameshootia na camera ya tecno p5
nisaidie moja tu ya hollywood yenye mapungufuMbona hata movie za nje zinamapungufu mengi lakini hamya semi
Budget na kamera ya tecno haviwezi kuwa shida... Kama watatumia muda kufanya kazi kwa kuzingatia ubora na kuacha kutufanya sisi ni watu wa zama za mawe.Ukiangalia subtitle zao ni tofauti na kinachosemwa,,mimi kidogo naona ray yupo vizuri,kuna movie yake moja niliiona kwa bahati mbaya,,,ila kusema ukweli kinachowaua bongo movie ni hawa ma up comings wanaboa sanaa,bora kingewekwa kiwango cha chini cha kutengenezea movie mfano m60 ili vitu vieleweke,ukakuta movie wameshootia na camera ya tecno p5
Aliigiza Adam kuambiana na Dr. CheniHiyo niliiona hata mimi ila jina tu ndo sikulishika
Tunasema vyakwetu vinavotuhusuMbona hata movie za nje zinamapungufu mengi lakini hamya semi
Toa mfanoMbona hata movie za nje zinamapungufu mengi lakini hamya semi
Daaah asante sana mkuu. Hilo neno uliloliandika umetusaidia sana kujua sababu ya Bongo movie kuwa hivyo zilivyo. TALATIBU MMMMHTalatibu kwani huko walianza je, yaaani wabongo kwa kuponda duh!
Mnyamwezi hana "R"!Daaah asante sana mkuu. Hilo neno uliloliandika umetusaidia sana kujua sababu ya Bongo movie kuwa hivyo zilivyo. TALATIBU MMMMH