ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 753
Bongo move ukitoa ishu za Siasa hawana cha maana wanacho fanya pale Arusha, hawa wako pale **** kupewa Moyivation wanendelee kuishabikia CCM ila hawana cha maana na wala hawana umuhimu wowote pale
Hawa Bongo Move ni CCM tu inawapa Bust kwa sababu hata Move zao kwa sasa Ma House Girl wenyewe ni wachache sana wanatazama, Hawa wamebakia kujipendekeza kwa CCM ili life isonge mbele,
Hawa kwa sasa wanaonekana kwenye matukio tu, baada ya hapo hutawaona tena.
Hawa Bongo Move ni CCM tu inawapa Bust kwa sababu hata Move zao kwa sasa Ma House Girl wenyewe ni wachache sana wanatazama, Hawa wamebakia kujipendekeza kwa CCM ili life isonge mbele,
Hawa kwa sasa wanaonekana kwenye matukio tu, baada ya hapo hutawaona tena.