Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Waziri wa Madini na Nishati William Ngeleja (kulia) akimsikiliza Askofu Zakaria Kakobe nje ya Kanisa la Askofu huyo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa upitishaji wa nyaya za umeme. (Picha na Selemani Mpochi)
Serikali ya Mzee J.K inashindwa na Mtu mmoja Askofu Kakobe? ama kweli Miafrika bwana ndivyo ilivyo kazi kweli