BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,041
- 10,463
Wengi wanauchukulia mziki wa hiphop kama mziki wa wahuni ila ni moja kati ya miziki yenye facts nyingi compared to other kinds of music. Wasanii wengi wa hiphop wana IQ kubwa. Kusikiliza hiphop ni kupata burudani huku unagain uelewa. Japo sio kila muziki wa hiphop unafacts nzuri ila asilimia kubwa ina facts. Hii ni baadhi ya mistari inayonifanya nizidi kuipenda bongo hiphop
-Kupata washikaji ukiwa na pesa ni rahisi kupata, na huna kitu ujuwe umefanikiwa kichizi mie sikufichi by Fid q
-Sio kila young ni killer uwezo utajieleza na sio kila sharobaro imeandikwa atafia muheza By Young killer
-Sina imani naye namchukulia father mkatili na sasa wakati wa kudozi anatutazama sehemu za siri By Domokaya
-Amani kwa kaka Voda millionaire waambie wadogo zako waache poda wale mmea By Jaymoe dedication to Langa
-Msinilaumu mlipata pesa mkacheza kama tundaman sijui hata wapi alipowekeza by Nikki mbishi.
-Chongo ushukuru mungu anapomuona kipofu maMC wa uongo hawana gundu wana hit na ngoma mbovu by Fid q.
-Chuki aliyekufunza nani huzaliwi nayo unajikuta unayo ukubwani by Fid q.
-Mapendo daima ile kikatoriki mapenzi ya pesa sina kitu je ntapendwa kwa kipato kipi by Nikki mbishi.
-Mchizi sikusoma naye tulikutana tu mtaani udogoni sikucheza nae ye ndo mchizi wangu wa ukubwani.
-wengi nawasikitisha sijui nita retire lini kisa nimekuwa mkali zaidi ya walioniinspire Mimi sijui nitaexpire lini ndo kwanza mwanzo wa kutisha nawapanda kichwani na wananipa siti ya dirisha by youngkiller.
-Kupata washikaji ukiwa na pesa ni rahisi kupata, na huna kitu ujuwe umefanikiwa kichizi mie sikufichi by Fid q
-Sio kila young ni killer uwezo utajieleza na sio kila sharobaro imeandikwa atafia muheza By Young killer
-Sina imani naye namchukulia father mkatili na sasa wakati wa kudozi anatutazama sehemu za siri By Domokaya
-Amani kwa kaka Voda millionaire waambie wadogo zako waache poda wale mmea By Jaymoe dedication to Langa
-Msinilaumu mlipata pesa mkacheza kama tundaman sijui hata wapi alipowekeza by Nikki mbishi.
-Chongo ushukuru mungu anapomuona kipofu maMC wa uongo hawana gundu wana hit na ngoma mbovu by Fid q.
-Chuki aliyekufunza nani huzaliwi nayo unajikuta unayo ukubwani by Fid q.
-Mapendo daima ile kikatoriki mapenzi ya pesa sina kitu je ntapendwa kwa kipato kipi by Nikki mbishi.
-Mchizi sikusoma naye tulikutana tu mtaani udogoni sikucheza nae ye ndo mchizi wangu wa ukubwani.
-wengi nawasikitisha sijui nita retire lini kisa nimekuwa mkali zaidi ya walioniinspire Mimi sijui nitaexpire lini ndo kwanza mwanzo wa kutisha nawapanda kichwani na wananipa siti ya dirisha by youngkiller.