Bongo hiphop mistari ninayoikubali

Usitamani viatu vyangu ukivivaa hautembe,
Ikiwa ni siku mbaya ndio masaa hayatembei. darasa.
 
Hakuna kukupigia ngoma kukuambia kuwa umekua
Miyeyusho majukumu, utakuja tukuombe dua
Utaamka tu unajua kuwa wachawi pia wanafiwa
Hata ukiwa kiboko kuna mahali utazidiwa.

Mwana FA - we endelea tu.
 
Back
Top Bottom