rugumye
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 561
- 178
Jamani Wabongo wenzangu, ni aibu mvua ya nusu saa maji kujaa barabarani posta mpya, posta baharini mita 100 tu kutoka baharini. kila mwaka tunashuhudia tatizo hili but no action. hivi hawa watawala wanafanya kazi gani? JIJI linatia aibu kwa kila kitu, foleni barabarani, takataka kila kona, mvua ikinyesha aibu tupu, jamani viongazi acheni uswahili, wahandisi tumiaeni taaluma zenu basi. mnashindwa kuchimba mtalo mkubwaundergraound? kuelekea baharini kuanzia labda somewhere? WALE WACHINA WALIKUJA KUFANYA NINI MIAKA 2-ILIYOPITA? juzi ilikuwa aibu ya mwaka pale akiba, sinza ndiyo usiseme. jamani aibu hii ni kichefuchefu. DR's Magufuli na Mwakyembe watuondolee aibu hii.