Bongo Fleva ya zamani tulikuwa tunapewa story.. siku hizi tunapewa nini?

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,432
7,055
Nakumbuka muziki wa kizazi kipya wa nyumbani hapa Tanzania.. around miaka ya 99 mpk 2000 na kenda... Ilikuwa ukiskia muziki unahit, basi ni kwa sababu una story.. Yaani style ya uandishi na hata kuimba/kurap ilikuwa ni story-telling..

Unakuta msanii anaandika kuhusu mwenendo wa tabia za mtu fulani (fiction).. Ambaye labda alianza kuwa kijana mwema... akaharibikiwa... au mkasa fulani.. simulizi yake sasa ndio daah mpaka raha..

Nakumbuka story ya Barua.. Story ya Aseme.. Story ya Sister sister.. Story ya Jinsi Kijana... Story ya Boss.. Story ya salome... Ya leah.. Story story...

Style hiyo naikosa kwenye miziki ya awamu hii.. wimbo mmoja unakuta una story kibao ndani yake.. unakuta kiitikio tofauti kabisa na verses... ladha inakuwemo lakini haidumu... inachosha..

Shime wanamuziki.. tuushape muziki.. tuchanganye ikibidi... Nilimwona Jay Moe akifanya story telling hivi karibuni kwenye wimbo wake wa Story za watu 3... Ilikuwa poa sana..

Natamani siku zirudi nyuma.. Kama haiwezekani, basi wazee wenzangu humu tukumbushane mistari ya nymbo za zamani ambazo zina stories nzuri..
 
Daah umenikumbusha mbali


Ndio mzee - Prof jay

Kikao cha dharula - Prof Jay

Nang'atuka Prof Jay

Si uliniambia - Mb Dog

Latifa - Mb Dog

Mapenzi kitu gani? - Mb Dog

Radhia - Doro ft sir. Nature

Zali la mentali - Prof. Jay

Sitaki demu - Sir. Nature

Inaniuma sana - Sir. Nature

Natamani - Q jay

Sifai - Q jay
 
Daah umenikumbusha mbali


Ndio mzee - Prof jay

Kikao cha dharula - Prof Jay

Nang'atuka Prof Jay

Si uliniambia - Mb Dog

Latifa - Mb Dog

Mapenzi kitu gani? - Mb Dog

Radhia - Doro ft sir. Nature

Zali la mentali - Prof. Jay

Sitaki demu - Sir. Nature

Inaniuma sana - Sir. Nature

Natamani - Q jay

Sifai - Q jay
Radhia wangu......J.Nature i think
 
Daah umenikumbusha mbali


Ndio mzee - Prof jay

Kikao cha dharula - Prof Jay

Nang'atuka Prof Jay

Si uliniambia - Mb Dog

Latifa - Mb Dog

Mapenzi kitu gani? - Mb Dog

Radhia - Doro ft sir. Nature

Zali la mentali - Prof. Jay

Sitaki demu - Sir. Nature

Inaniuma sana - Sir. Nature

Natamani - Q jay

Sifai - Q jay
Maisha -joselin ft nurueli ni moto wa kuotea mbali
 
Zama za wazee zimeisha..usijilazimishe kwenda na wakati ndio maana mmewekewa program zenu za zilipendwa..hizi ni zama za kuacha maneno na kuweka muziki...
 
Nakumbuka muziki wa kizazi kipya wa nyumbani hapa Tanzania.. around miaka ya 99 mpk 2000 na kenda... Ilikuwa ukiskia muziki unahit, basi ni kwa sababu una story.. Yaani style ya uandishi na hata kuimba/kurap ilikuwa ni story-telling..

Unakuta msanii anaandika kuhusu mwenendo wa tabia za mtu fulani (fiction).. Ambaye labda alianza kuwa kijana mwema... akaharibikiwa... au mkasa fulani.. simulizi yake sasa ndio daah mpaka raha..

Nakumbuka story ya Barua.. Story ya Aseme.. Story ya Sister sister.. Story ya Jinsi Kijana... Story ya Boss.. Story ya salome... Ya leah.. Story story...

Style hiyo naikosa kwenye miziki ya awamu hii.. wimbo mmoja unakuta una story kibao ndani yake.. unakuta kiitikio tofauti kabisa na verses... ladha inakuwemo lakini haidumu... inachosha..

Shime wanamuziki.. tuushape muziki.. tuchanganye ikibidi... Nilimwona Jay Moe akifanya story telling hivi karibuni kwenye wimbo wake wa Story za watu 3... Ilikuwa poa sana..

Natamani siku zirudi nyuma.. Kama haiwezekani, basi wazee wenzangu humu tukumbushane mistari ya nymbo za zamani ambazo zina stories nzuri..



badilika kuendana wakati kijana kama ni story unataka utazipata kwa THE BOLD.

acha watu wajiachie kuondoa stress.

UTANDAWAZI.
 
Yule afande mwenzangu wakamuuliza,
Umekuja peke yako au umekuja na mukaka wako,
Na wale wafungwa wengine wakawa wanashangilia mwali mwali mwali,
.....................................
Sijui nirudi chijijini,
Mimi sio polisi tena,

(Nimesahau mistari ya yule jamaa)
 
Salome by dully sykes

Mzee wa busara by juma nature

Sina makosa by mtoto wa dandu

Machozi by jay dee

Wanaume kama mabinti na usiuseme moyo by jay dee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom