Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,688
- 5,446
Kwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la wasanii wakifanya vizuri hasa kwenye soko la ndani. Wapo waliokuja wakajaribu bahati zao wakatoa hit song mbili tatu wakapotea. Wapo waliokomaa na gemu mpaka sasa tuna enjoy kazi zao hawa tunawaita wakongwe
TULIPOTOKA. Miaka ya nyuma kabla ya hichi kizazi cha kina mondi, kiba etc hakijaja muziki wetu ulikuwa na ushindani wa hali juu, kwa upande wangu kile ndiyo kizazi bora cha muziki wa bongo fleva mpaka nitakapo ingia kaburini. Wale ndio walitengeneza ramani nzuri ya muziki wetu matunda wanafaidi hawa wa sasa
TULIPO. kwa sasa ni dhahiri muziki wetu umepoteza dira haujulikani unaelekea wapi, ni kweli wasanii wazuri wapo tena wengi tu..je! Shida ni nini mbona hawafiki kule tunapo pataka?
KINACHO UWA MUZIKI WETU.
1. MEDIA.Hakuna asiye jua kuwa media zina mchango mkubwa sana kwenye mziki wetu, achilia mbali mitandao ya kijamii. Ni ajabu kusikia eti media ina bifu na msanii hapa ndio tumejiloga wenyewe. TUBADILIKE.
2. TEAMS. Hapa ndio tumejichimbia kaburi kabisa, hapa namaanisha team wasafi, kiba na sasa ivi imeibuka team konde. Hata ikitoke msanii labda kutoka konde anawania tuzo fulani basi hatopata sapoti kutoka team wasafi, hizi team zimepandikiza chuki ya hatari mioyoni mwetu na ndio zimegawa hata media. TUBADILIKE.
MWISHO. Kama tutaungana pamoja kama wadau na kuweka pembeni utimu nauwona muziki wetu mbali sana vipaji tunavyo vingi sana tatizo ni umimi.
Ahsanteni.
TULIPOTOKA. Miaka ya nyuma kabla ya hichi kizazi cha kina mondi, kiba etc hakijaja muziki wetu ulikuwa na ushindani wa hali juu, kwa upande wangu kile ndiyo kizazi bora cha muziki wa bongo fleva mpaka nitakapo ingia kaburini. Wale ndio walitengeneza ramani nzuri ya muziki wetu matunda wanafaidi hawa wa sasa
TULIPO. kwa sasa ni dhahiri muziki wetu umepoteza dira haujulikani unaelekea wapi, ni kweli wasanii wazuri wapo tena wengi tu..je! Shida ni nini mbona hawafiki kule tunapo pataka?
KINACHO UWA MUZIKI WETU.
1. MEDIA.Hakuna asiye jua kuwa media zina mchango mkubwa sana kwenye mziki wetu, achilia mbali mitandao ya kijamii. Ni ajabu kusikia eti media ina bifu na msanii hapa ndio tumejiloga wenyewe. TUBADILIKE.
2. TEAMS. Hapa ndio tumejichimbia kaburi kabisa, hapa namaanisha team wasafi, kiba na sasa ivi imeibuka team konde. Hata ikitoke msanii labda kutoka konde anawania tuzo fulani basi hatopata sapoti kutoka team wasafi, hizi team zimepandikiza chuki ya hatari mioyoni mwetu na ndio zimegawa hata media. TUBADILIKE.
MWISHO. Kama tutaungana pamoja kama wadau na kuweka pembeni utimu nauwona muziki wetu mbali sana vipaji tunavyo vingi sana tatizo ni umimi.
Ahsanteni.