DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,388
- 98,862
ana ungurumaTatizo la huyu akivuta kitu lazima aseme, "UUUURGN"
ana ungurumaTatizo la huyu akivuta kitu lazima aseme, "UUUURGN"
snoop doggy, mzee wa dog style na ile sigara kubwa a.k.a ganja, msuba, dope, kushabo, bangi itaondolewa kwenye orodha ya dawa za kulevya, soon kutakuwa na maeneo inakostawi bangi na kilimo chake kupamba moto kama kilimo cha tumbaku tabora.Tanzania bado hatujachelewa tunaweza kumualika Snoop doggy akafanya brand ya kibabe sana
Wizi khalifa naye kwa msuba yuko vizuri sana, kuna clip moja wako jukwaa moja na snoop wana rap huku wanapasiana ganjaWapige duo na wiz khalifa
Aah huyu kwenye hizi angle bado sana, kazidiwa hadi na madogo kina trippie reddTungeanza Kwanza na shemeji yetu uyu View attachment 2031382
Kuna madogo wanakula ganja mpaka imewazoea yani imefika hatua ile stimu wanaiona kama haiwatoshisnoop doggy, mzee wa dog style na ile sigara kubwa a.k.a ganja, msuba, dope, kushabo, bangi itaondolewa kwenye orodha ya dawa za kulevya, soon kutakuwa na maeneo inakostawi bangi na kilimo chake kupamba moto kama kilimo cha tumbaku tabora.