fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,107
- 19,960
Najiuliza watanzania tunaelekea wapi na siasa hizi hadi kufiki hatua ya kurusha mabomu katika umati wa watu. Nia kubwa ni nini hasa?
Watu wamefariki na wengi kujeruhiwa kwa tukio nadra sana kutokea katika ardhi ya Tanzania kama hili la mjini Arusha mbaya zaidi kuhusika moja kwa moja na siasa. Je siku litakapolipuka bomu kwenye mkutano wa CCM reaction yake kwa serikali itakuwaje?
Watu wamefariki, Bunge linaendelea (This is very sad). Tukio lamtwara bunge liliahirishwa; Au kwa sababu liligusa maslahi ya wakubwa nchini? Tukio la Olasiti viongozi wakubwa wa serikali walitembelea eneo husika na kuwapa pole wahanga Mt. Meru hospitali. Kwanini hawa waliokutwa na tukio hili nao wasipewe relief, au ni kwasababu ni wanachama wa CHADEMA?
Tufikie kipindi siasa tuweke pembeni na tujari maisha ya watanzania wenzetu. Kumbuka matukio yahusishayo mabomu watanzania hawajayazoea. Tusizoeshane ili siku za mbele tuyaone ni kawaida.
Watu wamefariki na wengi kujeruhiwa kwa tukio nadra sana kutokea katika ardhi ya Tanzania kama hili la mjini Arusha mbaya zaidi kuhusika moja kwa moja na siasa. Je siku litakapolipuka bomu kwenye mkutano wa CCM reaction yake kwa serikali itakuwaje?
Watu wamefariki, Bunge linaendelea (This is very sad). Tukio lamtwara bunge liliahirishwa; Au kwa sababu liligusa maslahi ya wakubwa nchini? Tukio la Olasiti viongozi wakubwa wa serikali walitembelea eneo husika na kuwapa pole wahanga Mt. Meru hospitali. Kwanini hawa waliokutwa na tukio hili nao wasipewe relief, au ni kwasababu ni wanachama wa CHADEMA?
Tufikie kipindi siasa tuweke pembeni na tujari maisha ya watanzania wenzetu. Kumbuka matukio yahusishayo mabomu watanzania hawajayazoea. Tusizoeshane ili siku za mbele tuyaone ni kawaida.