Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Bomu lakutwa kwenye makazi ya Rais Mstaafu wa Marekani Bill Clinton huko Chappaqua Jijini New York
Mfanyakazi wa Mwanasiasa ndiye aliyebaini bomu hilo wakati akiendelea na shughuli zake.
Bill Clinton anaishi na Mkewe, Hillary Clinton aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani wakati wa Obama lakini pia aliwaia urais kabla ya kubwagwa na Donald Trump
Maafisa wa Usalama wamesema kifaa cha mlipuko kama hicho pia kilikutwa katika Jumba la Bilionea George Soros anayeishi mita chache kutoka kwa Wanasiasa hao
=====
A bomb has been found at Hillary and Bill Clinton's suburban New York home.
The explosive device was found Wednesday morning at their home in Chappaqua.
It was found an employee who screens mail for the former President and Secretary of State, the New York Times reports.
A law enforcement official said the suspicious package was similar to one found at billionaire George Soros' nearby home on Monday.