Bomu Kulipuka kifo cha Balali.

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,944
703
Ndugu zangu JF, tumesoma mengi hapa na tukawa na mitazamo tofauti kuhusu kifo cha aliyekuwa Gavana wa BOT (Msadikiwa Marehemu) David Balali.

Kwa dodosa mie binafsi nimewasiliana na Investigative Reporters wawili kutoka vyombo vya habari vinavyoheshimika nchini Marekani ili watusaidie kutatua UTATA huo. Kila mwandishi anafanya kazi kivyake maana ni mashirika 2 tofauti na hakuna anayejua kuwa nimekutana au kuongea na mwandishi mwenzake. Kutakuwa na cost za hapa na pale lakini naamini kazi itaweza kufanyika.

Mmoja niliongea naye ana kwa ana na mwingine nilitumia email kisha akanipigia simu. Na wote wameniahidi kuliangalia suala hilo kwa ukaribu. Lakini mmoja alinimbia kuwa kuna mwenzake ambaye anafanya naye kazi kwa ukaribu kaenda Central Africa lakini hakutaja jina la nchi kufanya uchunguzi unaouhusiana na UN. Hivyo akasema akirudi wataanza kuliangalia hilo suala.

Kwa hiyo ndugu zangu kama Mungu akipenda UTATA huu utapata majibu, Nitakuwa nawapa UPDATES. Kaeni mkao wa mlo.
 
Hongera sana Indume kama ni kweli basi tutangoja nasi hatutachoka kukumbusha .
 
Ndugu zangu JF, tumesoma mengi hapa na tukawa na mitazamo tofauti kuhusu kifo cha aliyekuwa Gavana wa BOT (Msadikiwa Marehemu) David Balali.

Kwa dodosa mie binafsi nimewasiliana na Investigative Reporters wawili kutoka vyombo vya habari vinavyoheshimika nchini Marekani ili watusaidie kutatua UTATA huo. Kila mwandishi anafanya kazi kivyake maana ni mashirika 2 tofauti na hakuna anayejua kuwa nimekutana au kuongea na mwandishi mwenzake. Kutakuwa na cost za hapa na pale lakini naamini kazi itaweza kufanyika.

Mmoja niliongea naye ana kwa ana na mwingine nilitumia email kisha akanipigia simu. Na wote wameniahidi kuliangalia suala hilo kwa ukaribu. Lakini mmoja alinimbia kuwa kuna mwenzake ambaye anafanya naye kazi kwa ukaribu kaenda Central Africa lakini hakutaja jina la nchi kufanya uchunguzi unaouhusiana na UN. Hivyo akasema akirudi wataanza kuliangalia hilo suala.

Kwa hiyo ndugu zangu kama Mungu akipenda UTATA huu utapata majibu, Nitakuwa nawapa UPDATES. Kaeni mkao wa mlo.

Indume Yene,
Sasa hata uchunguzi bado hujafanyika na tayari umeanza kusema "Bomu Kulipuka".....!! Au tayari mwenzetu umeshajuwa matokeo ya uchunguzi? Sasa kama kichwa cha habari tayari kimeshakuwa skewed, huo uchunguzi utakuwa huru kweli? Nahitaji hewa.
 
Indume Yene,
Sasa hata uchunguzi bado hujafanyika na tayari umeanza kusema "Bomu Kulipuka".....!! Au tayari mwenzetu umeshajuwa matokeo ya uchunguzi? Sasa kama kichwa cha habari tayari kimeshakuwa skewed, huo uchunguzi utakuwa huru kweli? Nahitaji hewa.

Kuna wale wanaoamini kuwa Balali alikufa na wengine bado hawaamini hilo. Kwa hiyo kama atakuwa kafa tutakubali ukweli kwa ushahidi kamili na si maneno tu au kuangali jeneza bila maiti. Kama atakuwa bado anadunda kwa sura tofauti still ukweli utawekwa hapa na si kwa maneno bali kwa ushahidi.
 
tunasubili kwa hamu sana uchunguzi huo.Tatizo la serikali yeti imedumaa mno sijui viongozi wake mabogus?nyie subilini report ikitoka utawasikia watakavyo ibuka na kuanza kujikanyaga kama kawaida yao wanasubili wenzetu watufanyie uchunguzi wao wanaanza kunadi kwenye majukwaa.
 
Indume kwa viheadlines!!!!!
Hope litakuwa bomu kweli na sio longolongo.
 
Ndugu zangu JF, tumesoma mengi hapa na tukawa na mitazamo tofauti kuhusu kifo cha aliyekuwa Gavana wa BOT (Msadikiwa Marehemu) David Balali.

Kwa dodosa mie binafsi nimewasiliana na Investigative Reporters wawili kutoka vyombo vya habari vinavyoheshimika nchini Marekani ili watusaidie kutatua UTATA huo. Kila mwandishi anafanya kazi kivyake maana ni mashirika 2 tofauti na hakuna anayejua kuwa nimekutana au kuongea na mwandishi mwenzake. Kutakuwa na cost za hapa na pale lakini naamini kazi itaweza kufanyika.

Mmoja niliongea naye ana kwa ana na mwingine nilitumia email kisha akanipigia simu. Na wote wameniahidi kuliangalia suala hilo kwa ukaribu. Lakini mmoja alinimbia kuwa kuna mwenzake ambaye anafanya naye kazi kwa ukaribu kaenda Central Africa lakini hakutaja jina la nchi kufanya uchunguzi unaouhusiana na UN. Hivyo akasema akirudi wataanza kuliangalia hilo suala.

Kwa hiyo ndugu zangu kama Mungu akipenda UTATA huu utapata majibu, Nitakuwa nawapa UPDATES. Kaeni mkao wa mlo.

Mkuu wangu Indume Yene,

Heshima mbele mkuu, hapa tuko kwenye ukurasa mmoja, na I love it lete vitu!, najua wewe sio mtu wa papara na ni mtu mzima!
 
Ndio uzuri wa unyamwezini maana private investigator wako all over and its legal to use them,kama watu wa Ballali wamedanganya ni rahisi sana kujua....isssue ndogo sana hii sijui kwanini Mwanakijiji hakufanya hii kazi na kutubandikia report hapa!
 
haya mabomu lazima yatakuwa duds ! maana tokea nianze kusikia mabomu ya ballali hadi leo, najiuliza pengine yamenyeshewa na mvua !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom