Bila ubabe nchi haiendi hii...........
Si kweli, ni makosa yaliofanywa na viongozi mwanzoni kuingiza siasa kwenye kila jambo ndio tunavuna sasa. Kama sheria zingefuatwa toka tunapata uhuru sidhani kama tungefikia hatua hizi.
Bila ubabe nchi haiendi hii...........