mafimboo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 2,415
- 976
Zoezi la bomoabomoa linaloendeshwa na shirika la Reli limeacha wafanyabiashara wa Dodoma wakiangua vilio vya mwisho wa mwaka pasipokujua hatma yao,picha ya zoezi hili zimeshindwa kupatikana baada ya askari kukamata simu zote zilizorekodi tukio hili na kuwapeleka watuhumiwa central station,wafanyabiashara walipewa masaa 12 ya kazi kuwa wawewameondoka eneo hili LA tukio,walitaarifiwa tarehe 1-12-2017 jioni na kutakiwa kuondoka,ubomoaji ukaanza 2-12-2017 jioni,ni machungu ya mwisho wa mwaka,cha kushangaza kwanini walikamata simu zilizorekodi matukio kama zoeli halikuwa na dosari?